
MFUKO WA TAIFA WA MAJI YAWEZESHA KUKAMILIKA MIRADI YA MAJI 354 NCHINI
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Maji wa Taifa, Wakili Haji Mandule akizungumza katika kikao kazi kilichofanyika leo, Oktoba 31, 2024, kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, kati ya Ofisi ya Msajili wa Hazina na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF). Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa…