MAJALIWA ATETA NA WAZIRI WA UCHUMI WA URUSI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na  Waziri wa Uchumi na Maendeleo wa Shirikisho la Urusi Maxim Reshtnkov, katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar es Salaam, Oktoba 28, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)   Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na  Waziri wa Uchumi na Maendeleo wa Shirikisho la Urusi Maxim Reshtnkov na ujumbe…

Read More

Korti yabariki Tamisemi isimamie uchaguzi

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Masjala ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumatatu Oktoba 28.2024 imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa Mahakamani hapo na Watanzania watatu (3) ambao ni Bob Chacha Wangwe, Bubelwa Kaiza na Dk. Ananilea Nkya dhidi ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) na Mwanasheria…

Read More

KAIMU KATIBU MKUU UTUMISHI AVUTIWA NA UBUNIFU WA UTOAJI MAFUNZO KWA WATUMISHI

Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi akizungumza na watumishi wa ofisi yake wakati wa mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo watumishi hao katika masuala ya utendaji kazi yaliyofanyika katika ofisi hiyo iliyopo Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma. Sehemu ya Wakurugenzi na Watumishi wa Ofisi ya Rais-UTUMISHI na Utawala Bora wakimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu wa ofisi hiyo, Bw. Xavier Daudi (hayupo…

Read More

Wanafunzi Hazina wamkosha Waziri wa Ulinzi

  WANAFUNZI wa shule ya Kimataifa ya Msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam, wameonyesha umahiri mkubwa kwenye siku ya Umoja wa Mataifa (UN) kwa kutoa mada zilizowavutia wageni waalikwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Wanafunzi hao walialikwa kutoa mada kwenye sherehe za miaka 79 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa…

Read More

Ten Hag atimuliwa Manchester United

  Klabu ya Manchester United imemtimua meneja wake, Erik ten Hag baada ya miaka miwili ya kuiongoza klabu hiyo. Inaripoti Mitandao ya KImataifa, Manchester, England … (endelea). Mholanzi huyo alielezwa kuhusu uamuzi uliofikiwa na bodi ya klabu hiyo leo ikiwa bado wanaugulia na kipigo cha mabao 2-1 walichokipata jana mchana kutoka kwa West Ham. Ruud…

Read More

Misri yapendekeza kusitishwa mapigano kwa siku mbili Gaza – DW – 28.10.2024

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi amependekeza mpango wa kusitisha mapigano kwa muda wa siku mbili katika Ukanda wa Gaza na kubadilishana mateka wachache huku malengo ya kufikiwa usitishaji kamili wa mapigano kati ya Israel na Hamas yakiendelea kufanyiwa kazi. Katika pendekezo hilo lililotolewa hapo jana Jumapili mateka wanne wa Israel kati ya mateka wanaoshikiliwa katika…

Read More

Wanafunzi Hazina wang’ara siku ya UN

Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI wa shule ya Kimataifa ya Msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam, wameonyesha umahiri mkubwa kwenye siku ya Umoja wa Mataifa (UN) kwa kutoa mada zilizowavutia wageni waalikwa. Wanafunzi hao walialikwa kutoa mada kwenye sherehe za miaka 79 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa (UN) ambapo Waziri wa Ulinzi, Stegomena…

Read More