Tanzania kurusha Satelaiti yake ya kwanza

  TANZANIA inajiandaa kurusha Satelaiti ya kwanza itakayolinda mipaka na Bayoanuwai katika hifadhi na mapori nchini. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam …(endelea). Satelaiti hiyo iliyopewa jina la TanSar1, imetengenezwa na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT); na ikashinda shindano la raundi ya nane la KiboCUBE la dunia la kurusha Satelaiti. Taarifa iliyotolewa leo…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE:ACHENI KUFOKEA FOKEA WATUMISHI WENZENU

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George  Simbachawene akizungummza na  Watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma  Kampasi ya Dar es Salaam. Baadhi ya Watumishi wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George  Simbachawene wakati alipofanya ziara ya kutembelea…

Read More

Zaidi ya watu 120 wauawa katika mji wa Sariha nchini Sudan – DW – 28.10.2024

Katika taarifa, muungano huo wa madaktari umesema kuwa takriban watu 124 waliuawa na wengine 200 walijeruhiwa katika mji huo wa Sariha na kuongeza kuwa wanamgambo hao wa RSF pia waliwakamata watu wengine 150. Picha zilizosambaa mtandaoni, zingine zikisambazwa na kundi hilo la RSF lenyewe, zilionesha wafuasi wa kundi hilo wakiwadhulumu watu waliowazuia. Video moja ilionyesha…

Read More

Majibu ya Frank Lampard kwa Picha yake juu ya Usafirishaji wa Dawa za Kulevya.

Frank Lampard, nyota wa zamani wa kandanda wa Chelsea, amejibu hadharani habari za kushtua kwamba taswira yake ilitumiwa kama alama ya biashara kwenye shehena ya methamphetamine iliyogunduliwa huko Sydney, Australia. Tukio hilo lilihusisha uvamizi mkubwa wa dawa za kulevya ambapo kilo 95 za methamphetamine, zenye thamani ya takriban pauni milioni 38, zilipatikana kwenye mifuko ya…

Read More