Bashungwa: Msitoke Mafia mpaka kivuko kitoe huduma

  WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amempgia simu na kumuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Balozi Eng. Aisha Amour na Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kufika mara moja katika Kisiwa cha Mafia kupiga kambi kusimamia matengenezo ya Kivuko cha MV Kilindoni na kuhakikisha hawatoki mpaka huduma ya usafiri…

Read More

Prof. Mbarwa azindua miradi ya Bil 1.7 Katavi

  WAZIRI wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa ameweka mawe ya msingi na kuzindua miradi minne ya maendeleo yenye jumla ya shilingi bilioni 1.793 katika Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mpanda, Katavi … (endelea). Katika siku ya pili ya ziara yake Mkoani humo, leo tarehe 27 Oktoba 2024, Waziri Mbarawa amefanya ukaguzi ukarabati…

Read More

Meridianbet inakwambia hivi Pesa iko huku

Ndugu mteja wa Meridianbet baada ya jana kushuhudia mechi kali zikipigwa kwenye ligi mbalimbali, leo hii pia ni bandika bandua, mechi nyingi za pesa zipo leo. Ingia na ubashiri sasa. Uingereza pale EPL leo kuna mitanange ya kukata na shoka ambapo Chelsea baada ya kupoteza mchezo uliopita leo hii atamualika kwake Newcastle United ambaye pia…

Read More

40 Lucky Sevens ni ushindi tu

  Washindi wapo sehemu moja tu kwasasa ni wale ambao wanacheza mchezo wa kasino wa40 Lucky Sevens ambao umefanikiwa kubadilisha maisha ya wengi, Kwani watuwameshinda mamilioni ya kutosha kupitia mchezo huu. 40 Lucky Sevens ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma“Game Art“. Utapenda mchezo huu ikiwemo aina mbili za alama…

Read More

RAIS SAMIA ACHANGIA MILIONI 100 UJENZI WA KANISA

*MILANGO YA RAIS SAMIA IKO WAZI, ANAWAKARIBISHA VIONGOZI WA DINI: DKT. BITEKO* 📌 *Dkt. Biteko Amwakilisha Rais Samia Jubilei ya Miaka 50 ya AICT Magomeni* 📌*Rais Samia Achangia Milioni 100 Ujenzi wa Kanisa* 📌*Awahimiza Waaumini Kujitoa Kujenga Kanisa* 📌 *Atoa Wito kwa Viongozi wa Dini Kutimiza Kusudi la Mungu* 📌 *Awahimiza Watanzania Kushiriki Uchaguzi wa…

Read More