WAZIRI SIMBACHAWENE: HAKUNA KITU KIZURI KAMA MAISHA YA NDOA

Na Mwandishi wetu- Mpwapwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene (Mb) amesema maisha ya ndoa ni mazuri huku akimtaka Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya MpwapwaNdg.Mgutho Thabit Mathew aliyefunga pingu ya maisha na Mke wake Bi. Herieth Kileo kuishi maisha yenye upendo na kujaliana….

Read More

Chama tawala Japan huenda kikaangushwa kwenye uchaguzi – DW – 27.10.2024

Wajapan wamepiga kura katika uchaguzi wenye ushindani mkali ambao haujawahi kuonekana kwa miaka,huku waziri mkuu mpya Shigeru Ishiba na chama chake chenye nguvu cha  Liberal Democratic kikikabiliwa na uwezekano wa kupata matokeo mabaya kabisa tangu mwaka 2009. Uchunguzi wa maoni nchini humo unaonesha chama hicho cha kihafidhina  pamoja na washirika wake katika muungano wanakabiliwa na…

Read More

Siku ya kupiga mkwanja na Meridianbet ni leo

Wikendi ya kula mkwanja mrefu na Meridianbet ni hii ya leo kwani Duniani kote kuna mechi kibao zinapigwa. Ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi lako la ushindi hapa. Kama kawadia ligi kuu ya Uingereza EPL kuna mitanange mizito ya pesa ambapo Aston Villaatakipiga dhidi ya AFC Bournemouth huku tofauti ya pointi kati yao ikiwa…

Read More

Cheza Beach Penalties ndio mpango mzima leo

  MPANGO mzima kwasasa ni kupiga penalty tu kupitia mchezo mpya wa Kasino wa Beach Penalties, Mchezo huu umegeuka kua mchezo pendwa kwakua watu wanashinda mkwanjakirahisi kutoka na uwepesi wake wa kucheza. Umahiri wako wa kupiga mikwaju ya Penalty ndio inaweza kukufanya ukaondoka na mamilionikupitia mchezo huu pendwa kwasasa, Kwani utapaswa kupiga penalty zako tano na…

Read More