Chama tawala Japan huenda kikaangushwa kwenye uchaguzi – DW – 27.10.2024

Wajapan wamepiga kura katika uchaguzi wenye ushindani mkali ambao haujawahi kuonekana kwa miaka,huku waziri mkuu mpya Shigeru Ishiba na chama chake chenye nguvu cha  Liberal Democratic kikikabiliwa na uwezekano wa kupata matokeo mabaya kabisa tangu mwaka 2009. Uchunguzi wa maoni nchini humo unaonesha chama hicho cha kihafidhina  pamoja na washirika wake katika muungano wanakabiliwa na…

Read More

Siku ya kupiga mkwanja na Meridianbet ni leo

Wikendi ya kula mkwanja mrefu na Meridianbet ni hii ya leo kwani Duniani kote kuna mechi kibao zinapigwa. Ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi lako la ushindi hapa. Kama kawadia ligi kuu ya Uingereza EPL kuna mitanange mizito ya pesa ambapo Aston Villaatakipiga dhidi ya AFC Bournemouth huku tofauti ya pointi kati yao ikiwa…

Read More

Cheza Beach Penalties ndio mpango mzima leo

  MPANGO mzima kwasasa ni kupiga penalty tu kupitia mchezo mpya wa Kasino wa Beach Penalties, Mchezo huu umegeuka kua mchezo pendwa kwakua watu wanashinda mkwanjakirahisi kutoka na uwepesi wake wa kucheza. Umahiri wako wa kupiga mikwaju ya Penalty ndio inaweza kukufanya ukaondoka na mamilionikupitia mchezo huu pendwa kwasasa, Kwani utapaswa kupiga penalty zako tano na…

Read More

OUT YATOA MAFUNZO KUIMARISHA UFUATILIAJI NA USIMAMIZI WA MIRADI SERIKALINI

Mafunzo ya ufuatiliaji na tathmini yanayoendeshwa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kwa watumishi wa mamlaka za serikali za mitaa pamoja tawala za mikoa yanatarajiwa kuimarisha usimamizi pamoja na ufuatiliaji wa maendeleo ya miradi inayowekezwa na serikali katika kupeleka shughuli za maendeleo kwa wananchi kwa kuwa watumishi katika idara hizo watakuwa wameimarika vyema. Rai hiyo…

Read More