KAMATI YA BUNGE PIC YARIDHISHWA NA MIRADI YA NHC MTUMBA

Na Gideon Gregory, Dodoma. Kamati ya kudumu ya Bunge ya uwekezaji wa mitaji ya umma (PIC), imeiomba serikali kuhakikisha inaangalia namna bora ya kuweza kutunza majengo ambayo kwasasa yanaelekea kutamatika ili uwekezaji uliofanyika uweze kuleta tija. Ombi hilo limetolewa leo Oktba 26,2024 Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa kamati hiyo na Mbunge wa Jimbo la Kasulu…

Read More

HUKU TUNAPIGA PENALTY NA KUSHINDA MKWANJA

UMEWAHI kuona wapi hii unapiga tu penalty halafu unachukua mkwanja hii utaipata Meridianbet tu kupitia mchezo wa Beach Penalties, Kwani umahiri wako tu kuweza kupiga penalty unakupa mamilioni. Umahiri wako wa kupiga mikwaju ya Penalty ndio inaweza kukufanya ukaondoka na mamilioni kupitia mchezo huu pendwa kwasasa, Kwani utapaswa kupiga penalty zako tano na kuziweka wavuni…

Read More

MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA SI YA TAKUKURU PEKEE-MAJALIWA

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikagua gwaride, wakati alipomwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hafla ya ufungaji wa mafunzo ya awali ya uchunguzi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU), yaliyofanyika kwenye Shule ya Polisi Tanzania, Moshi mkoani Kilimanjaro. Oktoba 25, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) ………… Waziri Mkuu Kassim…

Read More

Umoja wa Mataifa wasikitishwa na mgomo wa Israel kusini mwa Lebanon na kuua waandishi wa habari – Global Issues

Mgomo huo ulitokea Hasbaya huko Nabatiyeh, nje ya eneo la operesheni za Kikosi cha Muda cha UN nchini Lebanon (UNIFIL) Jengo hilo lilikuwa na wanahabari kadhaa na wafanyakazi wengine wa vyombo vya habari. Akionyesha wasiwasi wake, Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa Farhan Haq, alisisitiza: “Wakati waandishi wa habari, wanaolindwa chini ya sheria za kimataifa…

Read More

MBUNGE UMMY MWALIMU -KAZI YA MAENDELEO ILIYOFANYWA NA RAIS SAMIA MKOANI TANGA SIO YA KUTAFUTA KWA TOCHI

Na Oscar Assenga,TANGA MBUNGE wa Jimbo la Tanga Ummy Mwalimu amesema kazi ya Rais Dkt Samia Suluhu anayoifanya ya Maendeleo katika Mkoa wa Tanga sio ya kutafuta kwa Tochi. Ummy aliyasema hayo leo wakati akitoa salamu katika Kongamano la Samia Challenge 2024 ambalo limeandaliwa na African Anti-Violence Journalist lililofanyika Jijini Tanga kwenye ukumbi wa Samia…

Read More