PUMA ENERGY TANZANIA YATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WADAU KUFANIKISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

NA MWANDISHI WETU  PUMA Energy Tanzania imetakiwa kushirikiana na wadau mbalimbali nchini kufanikisha azma ya Serikali ya kuhakikisha inatekeleza ipasavyo mkakati wa taifa wa nishati safi ya kupikia unaolenga asilimia 80 ya wananchi kutumia gesi ifikapo mwaka 2034. Wito huo umetolewa Oktoba 25, 2024 Jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya…

Read More

CHANDE AIPONGEZA TIA KWA KUFANIKISHA MBIO ZA MARATHON

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamadi Hassan Chande (Mb), akizungumzia umuhimu wa michezo kwa vijana, ikiwa ni pamoja na kutengeneza ajira wakati wa kilele cha mbio za marathon zilizoandaliwa na  Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Jijini Dar es Salaam. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha) Na. Scola Malinga, WF, Dar es Salaam Naibu…

Read More

BSS MSIMU WA 15 WAZINDULIWA RASMI

SHINDANO la kusaka Vipaji Tanzania Bongo Star Search ‘BSS’ misimu wa kumi na tano umezinduliwa rasmi kwa sasa ni Bongo Star Search African wanavuka boda. Akizungumza na wakati wa uzinduzi wa misimu huo mpya Mkurugenzi Mkuu wa Benchmark 360 Limited Rita Paulsen amesema kuwa Msimu huu wa kumi na tano wa Bongo Star Search ni…

Read More

Uchaguzi Serikali za Mitaa CCM Vumilia Ukooni shwari

Na Mwandishi Wetu HATIMAYE Uchaguzi wa kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) mtaa wa Vumilia Ukooni, Kata ya Kisarawe I| wilayani Kigay, Dar es Salaam umamalizika kwa amani leo. Uchaguzi huo umefanyika leo Oktoba 24,2024 baada ya jana kushindwa kufanyika kutokana na vurugu zilizojitokeza na kasoro mbalimbali. Uchaguzi huo leo hii umefanyika kwa…

Read More

Mkuu wa WHO – Masuala ya Ulimwenguni

“Tangu ripoti za asubuhi ya leo za uvamizi wa Hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Gaza, tumepoteza mawasiliano na wafanyikazi huko,” WHO mkuu Tedros Adhanom Ghebreyesus aliandika kwenye mtandao wa kijamii wa X. “Maendeleo haya yanasikitisha sana kutokana na idadi ya wagonjwa wanaohudumiwa na watu wanaohifadhi huko,” aliongeza. Ukanda wa Kaskazini wa Gaza imekuwa chini…

Read More