Majaliwa: Serikali imetenga bilioni 20 kukopesha wenye ulemavu. Asisitiza hakuna sababu ya kumficha mtoto mwenye ulemavu.

Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2024/2025, Serikali imetenga shilingi bilioni 20.21 kwa ajili ya watu wenye ulemavu ikiwa ni mikopo yenye masharti nafuu na isiyokuwa na riba inayotokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri. Amesema hayo leo (Ijumaa, Oktoba 25, 2024) alipomwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu…

Read More

WAZIRI MKUU AAGIZA WATOTO WENYE ULEMAVU WA KUONA WASIFICHWE

Na Linda Akyoo -Moshi Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 25, 2024 amewaasa wazazi na walezi kuacha tabia ya kuwaficha watoto wenye ulemavu kwani wanahaki sawa na watoto wengine na niwatanzania pia. Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa ameyasema hayo mkoani Kilimanjaro ambapo anamwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya…

Read More

Kuna sababu nyingi Tamisemi kutosimamia uchaguzi

  SISI raia watatu – Bob Wangwe, Bubelwa Kaiza na Ananilea Nkya, katika shauri tulilofungua Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, kwa niaba ya Raia wa Tanzania na tayari limeshasikilizwa na hukumu ni tarehe 25 Oktoba 2024, katika kuonyesha TAMISEMI haina mamlaka kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, mawakili wetu walizingatia Sheria za…

Read More

BSSA lazindua majaji, watangazaji wapya msimu wa 15

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Msimu wa kumi na tano wa Shindano la kusaka vipaji, Bongo Star Search African (BSSA), umewatangaza rasmi majaji na watangazaji watakaoongoza mashindano haya yanayopanuka kwa mara ya kwanza hadi nchi jirani. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi jijini Dar es Salaam, Jaji Mkuu wa BSSA, Madam Rita Paulsen, alifichua majina ya…

Read More

Mfalme Charles III afungua mkutano wa kilele wa Commonwealth – DW – 25.10.2024

Mfalme huyo, ambaye anawakilisha taifa lililotenda unyama na ukatili mkubwa dhidi ya mamilioni ya watu duniani, amewaambia viongozi wa mataifa yanayounda Jumuiya ya Madola kwamba yaliyopita hayawezi kubadilishwa. Kwenye hotuba yake ya ufunguzi wa mkutano huo wa Jumuiya ya Madola mjini Apina, Mfalme Charles alionekana kwa njia isiyo ya moja kwa moja kutambua miito kutoka…

Read More

BETI NA MERIDIANBET IJUMAA YA LEO

HATIMAYE wikendi ndio hiyo imeanza wakati huo huo wewe ukiwa unaifurahia Meridianbet wanakwambia kuwa una nafasi kubwa ya kuondoka na kitita cha pesa siku ya leo. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Weka mzigo wako wa maana kwenye mechi za ligi kuu ya Tanzania yaani NBC ambapo Simba baada ya kupata ushindi mwembamba mechi…

Read More

BARAZA LA WAWAKILISHI ZIARANI NBAA

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kupitia Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) na Taasisi ya Wahasibu, Wakaguzi na Washauri Elekezi wa Kodi Zanzibar (ZIAAT) wanatarajiwa kusaini mkataba wa mashirikiano ili kubadilishana uzoefu na kupeana ushauri wa kitaalamu ambao utaenda kuleta matokeo…

Read More

Mtanzania achaguliwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia

Na Benny Mwaipaja, Washington D.C Benki ya Dunia imemchagua Mtanzania, Dk. Zarau Kibwe, kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki hiyo atakayesimamia Kanda Namba Moja ya Afrika inayojumuisha nchi 22 ikiwemo Tanzania, nafasi ambayo Tanzania imewahi kuihudumu miaka 54 iliyopita. Uamuzi wa Dk. Kibwe kuipewa nafasi hiyo nyeti katika Taasisi hiyo kubwa ya Fedha Duniani, umetangazwa…

Read More