Kasekenya awataka NCC kuzingatia maadili kuleta tija kazini

Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amewataka watumishi wa Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) kuzingatia maadili na miiko ya taaluma zao ikiwemo kujiepusha na vitendo vya rushwa, ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka katika utekelezaji wa majukumu yao. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi la NCC jijini Dodoma, Oktoba 23,2024…

Read More

Waziri Silaa azindua miradi yenye thamani ya Mill.436.4 Mkalama

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa,  Oktoba 24, 2024, amezindua mradi wa maji na Zahanati yenye thamani ya jumla ya shilingi milioni 436.4 katika wilaya ya Mkalama, mkoani Singida. Mradi wa maji uliozinduliwa katika kijiji cha Nkalakala, umegharimu shilingi milioni 348.9 na unapunguza changamoto waliyokuwa nayo wananchi ya kutembea…

Read More

Guterres anasisitiza jukumu la bloc katika kukuza ushirikiano wa kimataifa – Masuala ya Ulimwenguni

Alihimiza umoja huo kusaidia kuunda mfumo wa kifedha wa kimataifa wenye usawa zaidi, kuongeza hatua za hali ya hewa, kuboresha upatikanaji wa teknolojia na kufanya kazi kwa amani, haswa katika Gaza, Lebanon, Ukraine na Sudan. BRICS ilianzishwa mwaka 2006 na Brazil, Russia, India na China, ambazo baadaye ziliunganishwa na Afrika Kusini, Iran, Misri, Ethiopia na…

Read More

Pinda Akutana na Rais Masisi: SEOM Yaahidi Uangalizi wa Uchaguzi Botswana

Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC-SEOM), Mheshimiwa Mizengo Pinda, amekutana na Rais wa Jamhuri ya Botswana, Mheshimiwa Mokgweetsi Eric Keabetswe Masisi, katika ofisi yake jijini Gaborone. SEOM ilitumia ziara hiyo kujitambulisha kwa Mhe. Rais Masisi na kubadilishana mawazo kuhusu hali ya kidemokrasia na maendeleo nchini…

Read More

MABONDIA ZAIDI YA 10 WAPIMA AFYA KUELEKEA HOMA YA SGR

Zaidi ya mabondia 10 wamepima afya kuelekea pambano la ‘Homa Ya SGR’ itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu Mkoani Morogoro. Mabondia hao ni Paul Kamata, Osama Arabi, Hassan Ndonga, Debora Mwenda, Abuu Lubanja, Adam Peter, Haruna Ndaro, Abdallah Ponda, Hamza Mchanjo, Shazir Hija, Hamadi Furahisha na Ibada Jafari. Daktari wa Kamisheni ya Ngumi za kulipwa Tanzania…

Read More