WAJASILIAMALI WADOGO WATAKIWA KURASIMISHA BIASHARA ZAO

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe (Mb) akikabidhiwa zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mkazi wa Taasisi ya Utafiti wa mbogamboga (World Vegetable Center), Bi. Colleta Ndunguru kwenye viwanja vya maonesho ya ‘Tanzanite Manyara Trade Fair 2024’ (Stendi ya zamani ya mabasi-Babati) Oktoba 23, 2024 mkoani Manyara. …… Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara,…

Read More

TCAA YATOA ELIMU KWA WADAU SEKTA YA UCHUKUZI

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Bw. Salim Msangi amewasilisha taarifa ya utendaji ya TCAA katika Mkutano wa 17 wa Wadau wa Sekta ya Uchukuzi kuhusu Ufuatiliaji na Tathmini unaofanyika jijini Arusha kuanzia Oktoba 23- 25, 2024 katika kituo cha mikutano cha kimataifa Arusha (AICC). Mkutano huo wa siku tatu unaofanyika…

Read More