MHE. PINDA AKUTANA NA RAIS WA BOTSWANA

Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC-SEOM), Mheshimiwa Mizengo Pinda, amekutana na Rais wa Jamhuri ya Botswana, Mheshimiwa Mokgweetsi Eric Keabetswe Masisi, katika ofisi yake jijini Gaborone. SEOM ilitumia ziara hiyo kujitambulisha kwa Mhe. Rais Masisi na kubadilishana mawazo kuhusu hali ya kidemokrasia na maendeleo nchini…

Read More

Morogoro kutoa kipaumbele kwa mabondia wakike.

Chama cha ngumi Morogoro kwa kushirikiana na wadau wengine wameanza mpango juibua vipaji vya Mchezo huo Kwa watoto wa kike Ili kuleta hamasa ya Kushiriki na ajira kwa vijana. Debora Mwenda ni mmoja wa bondia wanawake Mkoani Morogoro anasena tangu ameanza kushiriki mchezo huo amekua anajitenga na makundi mbalimbali ya mtaani ikiwemo vitendo viovu. Anasema…

Read More

Polio inaweza kuenea isipokuwa chanjo zifike kaskazini yenye vita – Masuala ya Ulimwenguni

“Ni muhimu kukomesha mlipuko wa polio huko Gaza kabla ya watoto zaidi kupooza na virusi kuenea.,” alisema Louise Waterridge, msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi wa Palestina, UNRWA. “Kampeni ya chanjo lazima iwezeshwe kaskazini kupitia utekelezaji wa mapumziko ya kibinadamu.” Ili kukatiza maambukizi, angalau asilimia 90 ya watoto wote katika kila jamii…

Read More

Ving’ora vinasikika kote Tel Aviv huku makombora yakinaswa karibu na hoteli ya Blinken.

Ving’ora vya mashambulizi ya anga vilisikika kote Tel Aviv siku ya Jumatano wakati Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken akijiandaa kumaliza ziara yake. Moshi, unaoonekana kutoka kwenye kurusha iliyonaswa, ulionekana angani juu ya hoteli aliyokuwa akiishi Blinken. Blinken aliitaka Israel kutumia ushindi wake wa hivi karibuni wa kimbinu dhidi ya Hamas kutafuta…

Read More

Korea wawekeza Chuo cha UAUT Taanzania

Viongozi wapya wasimikwa akiwemo Profesa Rwekaza Mukandala   Na Mwandishi Wetu  CHUO Kikuu cha Umoja wa Afrika Tanzania (UAUT) kimepata Viongozi wapya, watakao kiongoza chuo hicho baada ya mwekezaji wa kwanza kushindwa. Walioteuliwa kuongoza chuo hicho ni Mkuu wa Chuo, Dkt. Kyung Chul Kam, Makamu Mkuu wa Chuo, Profesa Sung Soo Kim na Mwenyekiti wa Baraza…

Read More

SHUJAAZ NA BINTI WA KITANZANIA

Na Linda Akyoo -Hai Katika juhudi za kuwasaidia vijana kujitegemea kiuchumi Mkoani Kilimanjaro,wilaya ya Hai,kundi la vijana hasa hasa wanawake limepata fursa ya kipekee ya kushiriki katika mafunzo ya ufugaji wa kuku yaliyoratibiwa na shirika la SHUJAAZ. Akizungumza wakati wa Mafunzo hayo leo tarehe 24 Oktoba,2024 Meneja wa Mradi wa “BINTI SHUJAAZ” Bw.Lucky Komba amesema…

Read More