BODI YA KITAIFA YA USHAURI YA MSAADA WA KISHERIA YATEMBELEA WASAIDIZI WA KISHERIA IRINGA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Bi. Eveline Haule, Msaidizi wa Kisheria  kutoka shirikala Iringa Paralega Center akisoma taarifa ya utekelezaji Mbele ya Bodi ya Kitaifa ya Ushauri ya Msaada wa Kisheria ilipofika katika ofisi zat zilizopo Iringa Mjini maeneo ya Mwembetogwaleo 24/10/2024. Na Lusajo Mwakabuku – WyKS Iringa   Bodi ya Kitaifa ya Ushauri ya Msaada wa Kisheria ikiwa katika…

Read More

Mamia wanufaika kupitia Bonge la Mpango ya NMB

Mwandishi Wetu,Dodoma BENKI ya NMB imetoa mamilioni ya fedha na vifaa ikiwemo zana za kilimo, friji na TV huku ikisubiri mshindi atakayeibuka na Sh100 milioni. Zawadi hizo zimetolewa kwa washindi kutoka mikoa mbali mbali nchini kupitia Shindano lake la Bonge la Mpango linalochezeshwa kupitia matawi yake nchi nzima. Meneja Mauzo wa NMB Makao makuu Nehemia…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR .DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA CHARAWE WILAYA YA KATI UNGUJA LEO

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wazee wa Kijiji cha Charawe Wilaya ya Kati Unguja, baada ya uzinduzi wa Barabara ya Jozani,Ukongoroni,Charawe na Bwejuu uliyofanyika leo 24-10-2024, ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya kumpongeza Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa mafanikio ya Uongozi wake katika…

Read More

Honda Yazindua Toleo Jipya la Honda ACE 150

Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Honda Ukanda wa Afrika Kusini, Hideki Shinjo (kushoto) akiwaongoza baadhi ya wageni wa meza kuu kuzindua rasmi pikipiki aina ya ACE 150 Jinjini Dar es Salaam leo Oktoba 24,2024 Wengine kutoka Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Cha Maderevena na Wamiliki wa Pikipiki Dar es Salaam, Mike Massawe ASP Rosemary Kitwala,…

Read More

Jinsi ya kuendeleza majukumu ya wanawake katika amani na usalama – Masuala ya Ulimwenguni

Hivi sasa, ukweli ni mbaya: mwaka 2023, idadi ya wanawake waliouawa katika migogoro ya silaha iliongezeka maradufu ikilinganishwa na mwaka uliopita, na idadi ya kesi zilizothibitishwa na Umoja wa Mataifa za unyanyasaji wa kijinsia unaohusiana na migogoro iliongezeka kwa asilimia 50. Wakati huo huo, idadi ya misaada ya kimataifa inayojitolea kusaidia usawa wa kijinsia katika…

Read More

MALIMA AKABIDHI GARI RUWASA WILAYA YA MALINYI

NA FARIDA MANGUBE, MOROGORO MKUU  wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, amekabidhi gari kwa Wakala wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Wilaya ya Malinyi katika hafla iliyofanyika ofisini kwake. Katika Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Sebastian Waryuba pamoja na watumishi wa RUWASA Mkoa. Malima amesema gari hilo litasaidia…

Read More