
TIC WATOA SEMINA KATIKA SEKTA YA MAJI, UMEME, MAFUTA GESI NA MADINI
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Gilead Teri akizungumza leo Oktoba 24, 2024 jijini Dar es Salaam wakati wa kufungua semina kwa Wakorea na wafanyabiashara wa Tanzania juu ya kukuza ushirikiano katika sekta za maji, Mafuta, gesi, Madini, viwanda na Kilimo. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Gilead Teri akizungumza na…