Ukosefu wa taulo za kike ni changamoto kwa wanafunzi

Ukosefu wa taulo za kike hususani kwa wanafunzi wanaotoka katika kaya masikini ni miongoni mwa changamoto zinazochangia baadhi yao kushindwa kuhudhuria masomo kwa kipindi chote cha hedhi hali inayosababisha baadhi yao kushindwa kufanya vizuri kwenye masomo yao kulinganisha na wengine wenye uwezo. Kufuatia hali hiyo Kampuni ya Beneficia imeamua kutoa msaada wa taulo za kike…

Read More

MAELFU KUPATA ELIMU YA MPIGA KURA NGORNGORO

Na Mwandishi wetu, Ngorongoro Wananchi wapatao 56,000 katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro wanatarajiwa kufikiwa na Elimu ya Mpiga Kura kupitia juhudi za asasi za Haki Mwananchi na Mtanzania Foundation, asasi ambazo zimepewa kibali rasmi na Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kutoa elimu hiyo muhimu pamoja na kushiriki katika zoezi…

Read More

Tume ya Madini yarekodi mafanikio makubwa, mazingira wezeshi yatajwa kukoleza kasi

TUME ya Madini Tanzania imeendelea kurekodi mafanikio makubwa katika nyanja mbalimbali ikiwemo makusanyo ya maduhuli yanayochochewa na mazingira wezeshi ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini,Mhandisi Ramadhani Lwamo ameyasema hayo leo tarehe 24 Oktoba,…

Read More

Wadau wa kilimo wanufaika na ugunduzi wa mbegu za Tari

  WAKULIMA, wazalishaji wa mbegu na wasindikaji wa bidhaa za kilimo wameeleza kunufaika na ugunduzi wa mbegu zilizofanyiwa Utafiti na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) katika mazao ya karanga, maharage na mtama kwa kuwaongezea tija katika mnyororo mzima wa thamani wa mazao hayo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Wameeleza hayo leo Oktoba…

Read More

TMA yakamilisha uboreshaji wa rada mbili za Hali ya Hewa

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekabidhiwa rasmi ya rada zake mbili za hali ya hewa zilizopo Mwanza na Dar es salaam zilizokuwa zinafanyiwa uboreshaji na kampuni ya Enterprises Electronic Corporation (EEC) kutoka Alabama, Marekani (USA). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Maboresho hayo yaliyofanywa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano…

Read More

LATRA CCC, FCS kulinda haki za watumiaji usafiri

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Ardhini kutoka LATRA kwa kushirikiana na Shirika la Asasi za Kiraia nchini (FCS), wamesaini mkataba wa makubaliano ya miaka mitatu ya programu itakayowezesha kulindwa kwa haki za mtumiaji wa barabara, reli na waya. Akizungumza Oktoba 22,2024 wakati wa kusaini makubaliano…

Read More