DKT NCHEMBA AHIMIZA UIMARISHAJI WA NISHATI NCHI ZA AFRIKA

Na Benny Mwaipaja, Washington D.C Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amezihimiza nchi za Afrika kwa kushirikiana na Taasisi za Fedha Duniani pamoja na Sekta Binafsi, kuhakikisha kuwa zinawekeza kwenye uzalishaji wa nishati ya uhakika na yenye gharama nafuu ili kutimiza malengo ya kujiimarisha kiuchumi, kuchochea uwekezaji, uzalishaji wa bidhaa na huduma na…

Read More

Ripoti ya Umoja wa Mataifa – Masuala ya Ulimwenguni

Matokeo hayo yametolewa na Katibu Mkuu ripoti ya hivi karibuni ya mwaka juu ya wanawake, amani na usalama. Kuongezeka kwa vifo na vurugu ni “kinachofanyika dhidi ya hali ya kuongezeka kwa kutozingatiwa kwa wazi kwa sheria ya kimataifa iliyoundwa kulinda wanawake na watoto wakati wa vita,” kulingana na UN Womenwakala anayeongoza kwenye ripoti hiyo. Kulipa…

Read More

BASHUNGWA AKAGUA NA KUZINDUA MIRADI MKURANGA – PWANI.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amezindua jengo la utawala katika Shule ya Sekondari ya Mwandege lililojengwa na kukamilika kupitia fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga lililogharimu kiasi cha Shilingi Milioni 119.9. Bashungwa amezindua jengo hilo leo Oktoba 23, 2024 Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani ikiwa ni muendelezo wa ziara yake maalum…

Read More

MFUMO WA IFTMISS KUTUMIKA NCHI NZIMA KABLA YA JULAI 2025

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughulikia TAMISEMI, Ndg. Sospeter Mtwale amesema Serikali imedhamiria kuhakikisha mfumo IFTMIS (Inspection and Finance Tracking Management Information System) utakuwa ukitumika nchi nzima kabla ya Julai 2025 ili kurahisisha Ukaguzi na Ufuatiliaji wa fedha katika Mamlaka za Serikali za Mitaa. Ndg. Mtwale ameyasema hayo leo tarehe 23/10/2024 wakati…

Read More

BARABARA YA LAMI YA KM 7.7 YENYE THAMANI YA BILIONI 9.3 KUUNGANISHA MIKOA YA SINGIDA-SIMIYU-ARUSHA

  Wakazi wa Wilaya ya Iramba na Mkalama, Mkoani Singida, wanatarajia kunufaika na barabara ya kiwango cha lami inayojengwa kuunganisha mikoa ya Singida, Simiyu, hadi Arusha. Mradi huu, wenye thamani ya shilingi bilioni tisa, umefikia asilimia 65 ya utekelezaji. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa, ametembelea na kukagua mradi huo…

Read More