
Wananchi waaswa kuacha kudanganyika na ushirikina
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima amewaasa wananchi kuacha kudanganyika na imani za kishirikina kwa imani za kupata mafanikio. Anaripoti Mwandishi Wetu, Nzega, Tabora … (endelea). Waziri Dk. Gwajima ameyasema hayo leo tarehe 23 Oktoba, 2024 wakati akizungumza na wananchi, kwenye Wilaya za Igunga na Nzega mkoani…