Wadau wa biashara kujadili mifumo ya serikali kusomana

  WADAU zaidi ya 300 waliopo kwenye mnyororo wa urasimishaji biashara nchini, kutoka taasisi za umma, sekta binafsi, taasisi miamvuli, wafanyabiashara, wanazuoni, wajasiriamali na mawakili, wanatarajiwa kujadili fursa, changamoto na mafanikio ya mifumo ya biashara. Anaripoti Restuta James, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa iliyotolewa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), kwa…

Read More

MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO ATEMBELEA BANDA LA REA

-AELEKEZA UTOAJI RUZUKU KATIKA MAJIKO YA UMEME Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amepongeza jitihada za Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika kuhakikisha wananchi wanafikishiwa Nishati Safi ya Kupikia. Ametoa pongezi hizo Oktoba 23, 2024 Jijini Dar es Salaam alipotembelea Banda la REA katika Kongamano la 10…

Read More

WAZIRI SILAA AZINDUA MNARA WA MAWASILIANO KATA YA MAKURU, SINGIDA.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry Silaa, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mnara wa Mawasiliano ya simu uliojengwa katika kijiji cha Hika Kata ya Makuru, wilayani Manyoni Mkoani Singida. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mheshimiwa Jerry Silaa,akizungumza mara baada ya kuzindua  Mnara wa Mawasiliano ya simu uliojengwa katika…

Read More

WHI yatunukiwa Tuzo ya Nyumba za Gharama Nafuu Barani Afrika

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Watumishi Housing Investment (WHI) imetunukiwa tuzo ya heshima ya ‘Nyumba za Gharama Nafuu Zaidi Afrika,’ iliyotolewa na Taasisi ya Mikopo ya Nyumba Afrika (AUHF), inayotambuliwa na Umoja wa Afrika. Afisa Mtendaji Mkuu wa WHI, Dk. Fred Msemwa, akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa mkutano huo. Tuzo hiyo ilitolewa…

Read More

WALEMAVU WA MACHO WAPEWE FURSA KAMA WATU WENGINE

Na Linda Akyoo -Moshi Mratibu wa Chama cha Wasioona Tanzania kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Ajira vijana na wenye ulemavu Kizito Lucas Wambura,amefanya ufunguzi rasmi wa kongamano la maadhimisho ya siku ya fimbo nyeupe,na miaka 60 ya Chama cha Wasioona Tanzania lililoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Huku lengo kuu la kongamano hilo…

Read More