Vikundi vya Ulinzi Shirikishi Zingatieni Maadili ya Kazi.

Vikundi vya Ulinzi Shirikishi Kata ya Ngara Mjini Wilaya Ngara Mkoa wa Kagera vimetakiwa kuzingatia Sheria kipindi cha utekelezaji wa majukumu yao huku akiwataka kuwa mfano mzuri Kwa jamii. Hayo yamebainishwa na Mkaguzi Kata ya Ngara Mjini Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Olipa Chitongo wakati akitoa elimu Kwa vikundi hivyo ambapo amewataka kufuata sheria za…

Read More

WADAU WA MAENDELEO, SERIKALI WAHIMIZWA KUENDELEA KUSHIRIKIANA KUWAENDELEZA WANAWAKE

Na Said Mwishehe,Michuzi TV WAZIRI wa Maendeleleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar Pembe Riziki Juma amewahimiza wadau wa maendeleo kuendelea kushirikiana na Serikali kuendeleza jitihada za kuwaendeleza wanawake na kuimarisha usawa wa kijinsia nchini na Afrika kwa ujumla. Ameyasema hayo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua Kongamano la Uongozi wa Wanawake lililoandaliwa na…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA MABALOZI MBALIMBALI WA NCHI ZA BARA LA AFRIKA IKULU ZANZIBAR

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na wageni wake Balozi wa Egypt Nchini Tanzania Mhe.Sharif A.Ismail na (kulia kwake) Balozi wa Malawi Nchini Tanzania Mhe.Andrew Kumwenda,baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-10-2024.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti…

Read More

MACHIFU MBEYA WAOMBA ELIMU YA FEDHA IWE ENDELEVU

Na Farida Ramadhani na Joseph Mahumi, WF – Mbeya Viongozi wa kimila (Machifu), jijini Mbeya, wameiomba Serikali kuweka program ya elimu ya fedha kuwa endelevu ili kuwawezesha wananchi wengi zaidi kupata uelewa na kutatua changamoto mbalimbali za masuala ya kifedha. Wametoa wito huo walipotembelea Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa kwa…

Read More

DKT. CHANA APOKEA TUZO NNE ZA KIMATAIFA ZA UTALII DODOMA

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt.  Pindi Chana akizungumza na watumishi waliojitokeza kwenye hafla ya mapokezi ya tuzo Nne za World Travel Awards Jijini Dodoma. Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbas akizungumza na watumishi waliojitokeza kwenye hafla ya mapokezi ya tuzo Nne za World Travel Awards Jijini Dodoma. Naibu Katibu…

Read More