Trump amjibu Biden kwa gari la taka

Mnamo Jumatano, Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, aliibua hisia za watu alipoonekana akiingia kwenye gari la taka lilioandikwa jina lake katika mkutano wa kampeni wa chama chake huko Green Bay, Wisconsin. Trump, aliyekuwa amevaa vest ya usalama yenye rangi ya machungwa na njano, alitumia tukio hilo kujibu matamshi ya Rais Joe Biden aliyosema…

Read More

Ushindi ni nje nje ukibashiri na Meridianbet

Alhamisi ya leo ni ya kuibuka na ushindi ndani ya mabingwa wa ODDS KUBWA Meridianbet ambapo mechi kibao zinapigwa leo hii. Nafasi ya kuwa Milionea ndio hii sasa usisubirie kuhadithiwa. Leo hii ligi kuu ya Italia SERIE A inaendelea kwa michezo kadhaa Fiorentina baada ya kutoa dozi nzito mechi yake iliyopita akiwa nyumbani leo hii…

Read More

Tshisekedi wa DRC akutana na Museveni mjini Entebbe

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Antoine Tshisekedi, aliwasili Entebbe, Uganda, Jumatano kwa ziara ya kikazi ya saa chache na mwenzake, Rais Yoweri Museveni. Akikaribishwa kwenye uwanja wa ndege na Waziri wa Ulinzi na Masuala ya Maveterani wa Uganda, Jacob Oboth-Oboth, Rais Tshisekedi alikwenda Ikulu ya Entebbe ambako alipokelewa na mwenyeji wake. Viongozi…

Read More

VODACOM YAFANYA MABORESHO MAKUBWA YA MTANDAO KUWAHAKIKISHIA WATEJA WAKE HUDUMA BORA

Kampuni kinara ya teknolojia na mawasiliano nchini, Vodacom Tanzania, imetangaza kufanya mabadiliko makubwa katika miundombinu ya mtandao wake ikiwa ni sehemu ya kuwahakikishia wateja wake huduma bora na za kisasa zaidi. Akizungumzia hatua hii, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Philip Besiimire alisema kuwa Vodacom imejidhatiti kuwa kinara katika ubunifu na kuboresha huduma zake kila wakati….

Read More

Rais Samia ashiriki mjadala kuhusu Kilimo barani Afrika uliofanyika, Des Moines, Iowa nchini Marekani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye mjadala (round tables discussion) kuhusu Kilimo barani Afrika, katika Mji wa Des Moines, Iowa nchini Marekani tarehe 30 Oktoba, 2024. Mjadala huo ambao uliandaliwa na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka barani Afrika, Serikali na Sekta binafsi…

Read More