Mahakama yasikiliza kesi ya kupinga kuenguliwa kwa Gachagua – DW – 22.10.2024

Mahakama ya kuu ya Kenya imeendelea kuisikiliza rufaa ya naibu wa rais wa Kenya aliyeondolewa madarakani Rigathi Gachagua, kupinga mchakato uliomuengua kwenye kiti chake wiki iliyopita. Kesi hiyo inaendelea wakati Rais Wiliam Ruto  akisema mahakama inayoisikiliza haina mamlaka ya kufanya hivyo. Kesi hiyo inasikilizwa baada ya Mahakama Kuu ya Nairobi kusimamisha mchakato wa kuondolewa madarakani…

Read More

Kukosekana Sera ya vijana kumiliki Ardhi, sababu kuu ya Migogoro ya kisiasa Afrika

Na Seif Mangwangi, Arusha WASHIRIKI wa kongamano la nne la kimataifa kuhusu changamoto ya umiliki wa Ardhi kwa vijana barani Afrika (CIGOFA4), wamesema migogoro ya kisiasa katika nchi nyingi barani humo imekuwa ikisababishwa na kukosekana kwa sera zinazotambua vijana katika umiliki wa rasilimali Ardhi. Wakizungumza katika kongamano hilo washiriki hao zaidi ya 500 kutoka katika…

Read More

DKT. BITEKO ASISITIZA UMUHIMU WA MIFUMO THABITI YA NISHATI JADIDIFU KUKIDHI MAHITAJI YA NISHATI

Na Mwandishi Wetu, Singapore. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe.Dkt. Doto Biteko, amesema kuna umuhimu mkubwa wa kuweka mifumo thabiti ya matumizi ya Nishati Jadidifu ili kukidhi mahitaji ya Nishati kwa nyakati zote. Dkt Biteko ameyasema hayo leo Oktoba 22, 2024 nchini Singapore wakati akiwasilisha mada kuhusu umuhimu wa uimarishaji wa mifumo kwa…

Read More

DEREVA WA TPA NA WENZAKE KIZIMBANI KWA UTAKATISHAJI WA BILIONI 20 NA KUSABABISHA HASARA YA BILIONI 26 KWA TIPER

Karama Kenyunko Michuzi Tv  DEREVA wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, TPA Tino Ndekela na wenzake saba, wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakilabiliwa na jumla ya  mashtaka 20 ikiwemo utakatishaji wa zaidi ya Sh. Bilioni 20 na kuisababishia Kampuni ya Kimataifa ya Kuhifadhi Mafuta (TIPER) Tanzania hasara ya Sh. Milioni 26. Katika kesi hiyo,…

Read More

Bilioni 97.1 kutumia ujenzi daraja la Jangwani

Na Mwandishi Wetu Serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa daraja la Jangwani lenye urefu wa mita 390 na barabara za maungio zenye urefu wa mita 700 katika barabara ya Fire – Ubungo kwa gharama ya sh bilioni 97.1 ambapo kazi ya ujenzi itatekelezwa kwa miezi 24. Mkataba huo umesainiwa leo Oktoba 22, 2024 mkoani Dar…

Read More