Kasekenya azindua Baraza la Wafanyakazi CRB, atoa maagizo

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya amezindua Baraza la Wafanyakazi la Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), huku akilitaka kuleta uwazi na kuondoa manung’uniko mahali pa kazi. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi leo Oktoba 22,2024 jijini Dar es Salaam, Mhandisi Kasekenya amesema mahali popote ambapo Baraza la Wafanyakazi likifanya…

Read More

SHULE ZA MBEYA KUFANYIWA UKARABATI MKUBWA

Mkurugenzi Mtendaji wa Jiji la Mbeya, John Nchimbi, ametangaza mpango mkubwa wa kuboresha miundombinu ya shule za msingi ndani ya jiji hilo, akieleza kuwa hatua hii ni sehemu ya juhudi za kuleta maendeleo endelevu katika sekta ya elimu. Nchimbi alifafanua kuwa mpango huo unatokana na maelekezo ya Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson, Mbunge wa Jiji la…

Read More