TANZANIA NA SINGAPORE KUIMARISHA UHUSIANO WAKE

📌 *Zanuia Kuongeza Kiwango cha Ufanyaji Biashara* 📌*Dkt. Biteko amwalika nchini Naibu Waziri Mkuu wa Singapore* 📌 *Singapore yasema iko tayari kubadilishana uzoefu na Tanzania* *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa uhusiano wa Tanzania na Singapore zitaenzi uhusiano…

Read More

Wenye uhitaji shule ya msingi Ilembula washikwa mkono

Jamii imetakiwa kuendelea kushirikiana ili kupunguza changamoto za watoto wenye uhitaji pamoja na watu wengine wanaoishi kwenye mazingira magumu na kujenga jamii yenye umoja na mshkamano bila kujali changamoto ambazo binadamu tumekuwa tukizipitia. Wito huu umetolewa na Gerlad Masanya ambaye ni kiongozi wa timu ya LBL G SEAL walipofika katika shule ya msingi Ilembula ili…

Read More

Kampeni ya Jeshi la Polisi tuwaambie kabla hawajaharibiwa yaendelea kutolewa

Kampeni ya Tuwaambie Kabla hawajaharibiwa Ilivyopokelewa Ngara Sekondari,waombwa kupaza sauti vitendo vya ukatili. Kampeni ya Jeshi la Polisi tuwaambie kabla hawajaharibiwa imeendelea kutolewa katika maeneo mbalimbali ya Shule za awali, Msingi na Sekondari pamoja na vyuo wilayani Ngara Mkoa wa Kagera.. Akitoa Elimu hiyo katika Shule ya Sekondari Ngara Mkuu wa dawati la Jinsia na…

Read More

Tanzania yapiga hatua uchumi wa Kidigitali, yasaini makubaliano na kampuni ya CECIS ya China

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeingia makubaliano muhimu na Kampuni ya Huduma za Mawasiliano ya Kielektroniki ya China (CECIS LTD) ambayo yanatarajiwa kuleta uwekezaji mkubwa na kutoa mafunzo kwa Watanzania. Kupitia makubaliano hayo, zaidi ya makampuni 600 ya vifaa vya kompyuta yataweza kuwekeza nchini Tanzania, lengo likiwa…

Read More

Taswira ya Msukosuko wa Kisiasa wa Tanzania Kabla ya Uchaguzi wa 2025 – Masuala ya Ulimwenguni

Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia Jijini Mbeya wakifyatua gesi ya chai kuwatawanya wanachama wa chama cha upinzani cha Chadema waliokusanyika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Vijana Agosti 12, 2024. Credit: Kizito Makoye/IPS by Kizito Makoye (dar es salaam) Jumatatu, Oktoba 21, 2024 Inter Press Service DAR ES SALAAM, Oktoba 21 (IPS) – Katika maandamano…

Read More

Uganda yawatia hatiani kwa “uhaini” wanachama 16 wa upinzani – DW – 22.10.2024

Taarifa hiyo ni kulingana na wakili wa upande wa utetezi Shamim Malende, ambaye amesema kesi hiyo ilikuwa na mashaka kutokana na jinsi ilivyosikilizwa na baadaye watuhumiwa kukubali makosa ambayo awali waliyakana. Upande wa mashtaka umedai kuwa wanachama 16 wa Jukwaa la Umoja wa Kitaifa (NUP), pamoja na wengine ambao bado hawajakamatwa, walikutwa na vilipuzi kati…

Read More