
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 22,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 22,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 22,2024 About the author
Daktari Bingwa wa ngozi kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dk. Andrew Foi akizungumza na wanahabari wakati wa uzinduzi wa bidhaa za ngozi zilizotengenezwa na Kampuni ya Betty World. Katikati ni Mkurugenzi wa Kampuni ya kutengeneza Mafuta ya Ngozi ya Betty Word, Meshack Lutembeka na Mkurugenzi mwenza Bw. Jesse Madauda (wa kwanza kushoto). Na Mwandishi…
Na Oscar Assenga, LUSHOTO. MKUU wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian amewahimiza wananchi katika maeneo mbalimbali mkoani humo kuhakikisha wanatimiza haki yao ya msingi kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu. Aliyasema hayo wakati akihimitisha zoezi la kuwahamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura katika wilaya za Mkinga,…
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde ametoa wito kwa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo(SACCOS) kuendelea kutumia mifumo ya Kidigitali mbalimbali iliyopo sokoni inayoendana na uwezo wa Kifedha wa SACCOS ikiwemo mfumo ulioandaliwa na unaondeshwa na Muungano wa SACCOS nchini (SCCULT). Ameeleza Mhe Silinde Mfumo huu umeandaliwa kwa mazingira ambayo ni rafiki na…
Msajili ya Hazina Bw. Nehemiah Mchechu (katika) akipata maelezo kuhusu mashine ya kisasa ya kuchakata uchafu na kuzalisha mbolea na gesi asilia kutoka kwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamivu Petro Mwamlima (kulia) katika kituo cha Atamizi Oktoba 21, 2024, Kushoto ni Makamu Mkuu wa Taasisi Prof. Maulilo Kipanyula. Na Mwandishi Wetu Msajili wa Hazina Bw….
▫️Zulfa dhidi ya Bisambu Merveille mwenyeji wa DR Congo ▫️Kanenda dhidi ya Amroug El Abidine kutoka Morocco 21-10-2024, Kinshasa – DR Congo: Mabondia wa Kikosi cha Timu ya Taifa ya Ngumi “Faru Weusi” Zulfa Macho na Saidi Hamisi Kanenda wanatarijiwa kupanda ulingoni leo katika mashindano ya AFBC Ubingwa wa Afrika – Kinshasa 2024 nchini Jamhuri…
Hatimaye, maji ya mafuriko yanapungua, na kuacha njia ya uharibifu na makazi tofauti kimsingi kwa viumbe visivyo vya binadamu ikiwa ni pamoja na mimea na viumbe vidogo na microorganisms zinazoishi kwenye udongo. Mkopo: Shutterstock. Maoni by Esther Ngumbi (urbana, illinois, sisi) Jumatatu, Oktoba 21, 2024 Inter Press Service Mara chache sana zinazoingia kwenye vichwa vya…
WAPIGANAJI wa kundi la M-23, wameuteka mji muhimu wa Kalembe wilayani Masisi na kusonga mbele hadi wilaya ya Walikale mkoani Kivu Kaskazini. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa, Kivu, DR Congo … (endelea). M-23 waliuteka mji huo jana Jumapili, tukio linalowapa nafasi kubwa waasi hao kuviteka vijiji vyenye utajiri mkubwa wa madini wilayani Walikale. Mji huo…
WATAALAM 544 wa kada ya afya, katika nyanja ya sita ikiwamo ya watoto wachanga, afya ya akili, magonjwa yasiyoambukiza kama ya moyo na matibabu ya ubongo na mishipa ya fahamu, wametengewa Sh. 14 bilioni kujiendeleza kielimu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Aidha, nyanja nyingine ni ugunduzi wa magonjwa ikiwamo patholojia, huduma za utengamao…
Rais wa Moldova, Maia Sandu, anayeunga mkono Umoja wa Ulaya, ametangaza leo kwamba kambi yake imeshinda katika mapambano yasiyo ya haki, na kusisitiza kuwa kulikuwa na jaribio la kuharibu demokrasia na kuathiri matokeo ya uchaguzi. Sandu anamtuhumu kigogo anaediwa kufadhiliwa na Urusi kula njama ya kuvuruga zoezi hilo. Kura zilizohesabiwa zinaonyesha asilimia 50.39 ya wapiga…