
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 21,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 21,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 21,2024 About the author
Na Linda Akyoo -Moshi Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Nurdun Babu ameeleza namna alivyo furahishwa na zoezi la uandikishaji Wilaya ya Same linavyotamatika kwa amani na utulivu, huku akiipongeza kamati ya usalama ya Wilaya kwa kazi nzuri ya kuimarisha usalama ndani ya siku zote 10 za uandikishaji kuanzia Oktoba 11 hadi 20 mwaka huu…
Na Mwandishi Wetu,New York Marekani. Katibu Mtendaji wa Tume ya UNESCO Tanzania Profesa Hamisi M. Malebo amesema Serikali ya Tanzania imeweka kipaumbele katika kulinda mifumo ya uhifadhi wa ikolojia iliyomo katika ardhi ya Tanzania. Prof Malebo amesema pamoja na ukweli kuwa jamii ya Wamaasai imeishi pamoja na wanyamapori kwa vizazi vingi, zipo taarifa za changamoto…
Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda, ameipongeza Jumuiya ya maendeleo nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), kwa hatua muhimu iliyofikiwa katika kumairishwa kwa Demokrasia, Amani, Ulinzi, Usalama na Maendeleo kwa Nchi za Jumuiya hiyo. Akiungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuwasili Jijini Gaborone Nchini Botswana, kutekeleza majukumu ya uangalizi wa uchaguzi Mkuu…
Kilimanjaro. Bw. Nehemiah Mchechu, Msajili wa Hazina na kiongozi anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya nyumba, benki, na biashara, ameendesha harambe iliyowezesha kuchangisha Sh117.8 milioni kwaajili ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Naibili, Siha, Kilimanjaro. Kati ya fedha hizo kwaajili ya jengo hilo mpya la ibada…
Alikiba atunukiwa TUZO kama CHAMPION wa Maendeleo ya Mtoto wa Kike kupitia Kongamano la KIGODA LA WASICHANA @kigodachawasichana lililofanyika Tarehe 11/10/2024 katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Kike visiwani Zanzibar. Kongamano lililoandaliwa na Taasisi ya @shirazfoundation imemkabidhi Tuzo hiyo Alikiba alipohudhuria na kushiriki Kongamano hilo viwanja vya Nyamanzi Zanzibar na kuhudhuriwa na Mgeni Rasmi,…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa Leo Oktoba 20, 2024 ametaja Mikoa mitano yenye asilimia kubwa ya watu waliojiandikisha hadi kufikia Oktoba 18, 2024, ikiwa ni siku ya mwisho ya zoezi hilo la uandikishaji kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27 mwaka huu….
Mkuu wa Misheni ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ya Uangalizi wa Uchaguzi Mkuu nchini Botswana (SEOM) Mhe. Mizengo Pinda ameongoza kikao cha Asasi ya Siasa Ulinzi na Usalama ya SADC TROIKA kupitia taarifa ya maandalizi ya Misheni hiyo nchini Botswana. Kikao hicho kilichofanyika jijini Gaborone tarehe 20 Oktoba 2024 na kilihudhuriwa na…
Na Linda Akyoo Kampuni ya ZARA Adventure, iliyoko Moshi mkoani Kilimanjaro, imezindua kampeni ya Twenzetu Kileleni season 4 kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi wa ZARA Adventure Bi.Zainabu alielezea lengo la kampeni hiyo na jinsi inavyolenga kuchochea utalii wa ndani na kukuza uhusiano kati…
Nehemiah Mchechu, Msajili wa Hazina na kiongozi anayejulikana kwa mchango wake mkubwa katika sekta ya nyumba, benki, na biashara, ameendesha harambe iliyowezesha kuchangisha Sh117.8 milioni kwaajili ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Naibili, Siha, Kilimanjaro. Kati ya fedha hizo kwaajili ya jengo hilo mpya la ibada ambalo ujenzi…