ZIFF, EU WALETA FILAMU TANZANIA BARA 2024

Na. Andrew Chale, Dar es Salaam TAMASHA la Kimataifa la filamu za Nchi za Majahazi (Zanzibar International Film Festival-ZIFF) kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU), Nchini wametangaza rasmi uoneshaji wa filamu katika baadhi ya Mikoa minne ya Tanzania Bara katika Vyuo Vikuu na vituo vya Utamaduni wa Nchi Wanachama hapa nchini program inayofahamika  ZIFF…

Read More

Chadema yasema afisa wake mkuu alitekwa na kuumizwa vibaya – DW – 20.10.2024

Watu wasiojulikana walimteka nyara na kumjeruhi vibaya Aisha Machano, afisa wa ngazi ya juu wa chama cha upinzani CHADEMA nchini Tanzania, kabla ya kumtupa msituni, chama chake kilisema Jumapili.  Tukio hili linatokea mwezi mmoja baada ya utekaji na mauaji ya kiongozi mwingine wa chama hicho.  Visa hivyo vinavyoripotiwa huenda vikachafua taswira ya Rais Samia Suluhu…

Read More

WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA KUFUNGUA FURSA ZA UCHUMI

Na Farida Ramadhani na Joseph Mahumi, WF, Mbeya Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Wasimamzi wa Sekta ya Fedha nchini, imeandaa Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa jijini Mbeya ili kuwawezesha wananchi kupata uelewa wa masuala ya fedha. Maadhimisho hayo yanayofanyika katika Viwanja vya Ruanda-nzovwe Jijini Mbeya yanalenga kutoa elimu kwa…

Read More

DC SAME AIBUKIA MTAANI KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA MAKAZI

Mkuu wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amepita Mtaa kwa Mtaa kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la mkazi ili waweze kuwa na sifa za kushiriki kuchagua Viongozi wa Serikali za Mitaa/Kitongoji Novemba 27 mwaka huu 2024. Akizungumza wakati wa ziara hiyo DC Kasilda amesisitiza wananchi ambao bado hawajajiandikisha kutumia vyema siku mbili zilizo…

Read More

Mkwanja inapatikana Beach Penalties Tu

  Ni rahisi kabisa kushinda mkwanja na mchezo huu kabambe wa Kasino mjini wa Beach Penaltiesambao umekua pendwa kutokana na namna ambavyo mchezo huu ni rahisi kuucheza, Kwanikinachohitajika ni ufundi na umahiri wako tu wa kupiga Penalty. Kwa kila pigo moja lina odds zake za ushindi ambazo zitajumlishwa na dau lako ulilowekakuchezea, kama ulikuwa unawaza…

Read More

Mtaalamu bingwa wa nyonga na magoti wa Uingereza atua Dar

  MTAALAMU bingwa wa upasuaji wa nyonga na magoti kutoka hospitali ya Qeen Elizabeth ya Uingereza Profesa Mamoun AbdelGadir, amewasili jijini Dar es Salaam kwaajili ya kambi ya matibabu ya siku tano kwa watanzania. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Daktari huyo kwa kushirikiana na wataalamu wa ndani atafanya upasuaji huo kwenye kambi…

Read More

Samia Love ilivyokusanya, kuonyesha fursa kwa vijana Mbeya

  Swali la umeifanyia nini Tanzania ndilo lililobeba ajenda kuu katika baraza la vijana la Samia Love lililofanyika jijini Mbeya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Mbeya … (endelea). Baraza hilo, lililokutanisha mamia ya kundi la vijana limekuwa kielelezo cha tafsiri ya kabla hujaomba onyesha ulichonacho. Hilo ni kutokana na hotuba na mawasilisho ya vijana mbalimbali katika tukio…

Read More

Serikali kujenga kituo kipya cha afya Mahuninga

Waziri wa Nchi Ofisi ya waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi (Mb) Isimani akizungumza na wananchi wa vijiji vya Mahuninga Makifu na Kisilwa katika ziara yake ya kutembelea Miradi ya Maendeleo Diwani wa viti maalumu, Mhe, Shani Richard wa Tarafa ya Idodi akisalimia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha…

Read More