UNESCO na Alwaleed Philanthropies Kuendeleza Utamaduni na Elimu Tanzania kwa Mradi Mpya – MWANAHARAKATI MZALENDO

Na Rose Ngunangwa Dar Es Salaam   UNESCO kwa kushirikiana na Alwaleed Philanthropies, imezindua mradi unaolenga kuiwezesha jamii kutumia Utamaduni, Sanaa na Elimu ili kuleta Maendeleo endelevu nchiini Tanzania.   Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa UNESCO nchiini Tanzania Bwana Michel Toto alibainisha hayo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wakati akifungua mkutano uliojumuisha…

Read More

Samia hodari wa uchumi Afrika

*Tanzania: Kiongozi katika Mapambano dhidi ya umaskini Afrika Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Umaskini yemefanyika Oktoba 17, huku ikishuhudiwa Tanzania ikiwa kielelezo cha matumaini na maendeleo barani Afrika. Kwa mujibu wa takwimu za Afrobarometer, asilimia 51 ya Watanzania wanaamini kuwa serikali yao inafanya kazi nzuri au nzuri sana…

Read More

Kuwa milionea na mechi za Ligi leo

  Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia hivi unaweza kupiga mkwanja Jumamosi ya leo kwani ODDS KUBWA na machaguo ya kutosha yanapatikana hapa. Ligi pendwa Duniani EPL leo kuna mechi kali sana za kukupatia maokoto, Manchester United ya Ten Hag atakipiga dhidi ya Brentford ya Frank Thomas ambapo mechi ya mwisho kukutana, walitoa sare. Meridianbet…

Read More