CHATANDA AHAMASISHA WANAWAKE KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWA WINGI NA KUGOMBEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, VIJIJI NA VITONGOJI

Na Mwandishi Wetu, Tanga Mjini Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) amewataka wanawake wote nchini kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali bila kuogopa lolote lile. Aidha, Chatanda amewataka wanaume wote kuendelea kuwaunga mkono wanawake wenye karama na uwezo mkubwa wa uongozi na bila ubaguzi wowote…

Read More

MAHAFALI YA 13 YA PSPTB YAFANA JIJINI DAR

  Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb) akizungumza wakati wa Mahafali ya 13 ya Wahitimu wa Mitihani ya Kitaaluma ya PSPTB yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB), Jacob Kibona akizungumza…

Read More

Unasubiriwa wewe tu hapa Supedom Masaki

Ni siku ya Tuzo za Tanzania Music Awards zinazotolewa kwa wale waliofanya vizuri kwa mwaka 2023 Kwenye upande wa Muziki hapa bongo, location ni Masaki na chimbo ni The Dome kuna mengi ila kwa sasa tukuoneshe muonekano wa eneo litakalo andika historia kwenye Muziki wa bongo leo…           

Read More