WAZIRI MAVUNDE AELEZA UMUHIMU WA MADINI BONANZA

*Dodoma* Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde ameeleza kuhusu umuhimu wa Madini Bonanza na kueleza kuwa limelenga kuimarisha umoja, mshikamano na ushirikiano baina ya Watumishi wa Wizara na Taasisi zake ili kuifanya Wizara kuwa familia moja. Amesema hayo leo Oktoba 19, 2024 katika Viwanja vya Shule ya Sekondari John Merlin – Miyuji jijini Dodoma, wakati…

Read More

CUF wataka orodha wapigakura serikali za mitaa ikaguliwe

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Chama cha Wananchi (CUF) kimependekeza orodha ya wapigakura waliojiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ikaguliwe kujiridhisha kama wamekidhi vigezo. Uandikishaji wapigakura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ulianza Oktoba 11,2024 na unatarajiwa kuhitimishwa Oktoba 20,2024 huku uchaguzi huo ukitarajiwa kufanyika Novemba 27,2024. Akizungumza Oktoba 18,2024…

Read More

Migogoro Inayoingiliana Inazuia Maendeleo ya Jamii Duniani na Kupunguza Umaskini – Masuala ya Ulimwenguni

Bila kuwekeza katika maendeleo ya kijamii na kukabiliana na janga, jamii zilizo katika mazingira magumu huathirika zaidi na athari na mikazo inayoletwa na migogoro mingi. Credit: UN Women_Ryan Brown na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Jumamosi, Oktoba 19, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Oktoba 19 (IPS) – Maendeleo ya kijamii katika muktadha wa…

Read More

Mkurugenzi wa NEC ajiandikisha kupiga kura serikali za mitaa

  MKURUGENZI wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Kailima Ramadhani amejiandikisha kwenye daftari la wakazi katika mtaa wa Chimuli II kwenye kituo cha Shule ya Msingi Chadulu jijini Dodoma leo Oktoba 19, 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Akizungumza baada ya kujiandikisha, Kailima aliwasisitiza wananchi umuhimu wa kujitokeza kwa wingi…

Read More