ROYAL TOUR YA RAIS SAMIA YAING’ARISHA SERENGETI NA MLIMA KILIMANJARO KIMATAIFA

Taasisi ya World Travel Awards imetangaza hifadhi mbili za Tanzania kuwa washindi katika vipengele vya hifadhi na kivutio bora cha utalii barani Afrika kwa mwaka 2024.  Hifadhi ya Taifa Serengeti imetangazwa kuwa mshindi katika kipengele cha Hifadhi Bora Barani Afrika (“Africa’s Leading National Park 2024”) wakati Mlima Kilimanjaro ikitangazwa kuwa Kivutio bora cha Utalii Barani…

Read More

WAZIRI MKUU AJIANDIKISHA KIJIJINI KWAKE NANDAGALA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akijiandikisha kwenye Daftari la Wapigakura wa Serikali za Mitaa kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mtaa na Vijiji utakaofanyika Novemba 27, 2024. Waziri Mkuu alijiandikisha kwenye kituo cha shule ya msingi Nandagala iliyopo kitongoji cha Nanguruwe, Kata ya Nandagala, Ruangwa Mkoani Lindi. Oktoba 19, 2024 Kushoto ni Afisa Uandikishaji Bw….

Read More

MWALIMU NI NYOTA INAYOANGAZA – DKT. BITEKO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa Mwalimu ni Nyota inayoangaza na hivyo kama Taifa tuwaheshimishe walimu wa Tanzania na Kuinua taaluma ya Ualimu ambayo imekuwa chanzo cha maarifa kwa Watoto wetu pia tuwahimize wailinde kwa wivu mkubwa taaluma hiyo. Dkt. Biteko ameyasema hayo wakati akizungumza na Wananchi wa…

Read More

UNAMA wasiwasi juu ya vifo vya wahamiaji, 'mbinu za vita' katika Ukingo wa Magharibi, mkuu wa kisiasa wa Umoja wa Mataifa anasisitiza uungaji mkono kwa Somalia – Masuala ya Ulimwenguni

Shambulio hilo linalodaiwa kuwa lilitokea tarehe 14 hadi 15 Oktoba katika eneo la mpaka la Kala Gan katika Mkoa wa Sistan wa Iran karibu na mpaka wa Iran na Pakistan. Shirika la Haalvsh, linaloangazia haki za Baloch nchini Iran, limedai kuwa hadi raia 260 wanaweza kuwa wameuawa au kujeruhiwa. Walakini, takwimu hizi bado hazijathibitishwa. ya…

Read More

BALOZI BWANA AMKABIDHI KATIBU MTENDAJI WA SEKRETARIETI YA SADC BARUA YA UTEUZI WA KIONGOZI MKUU WA TIMU YA SADC YA WAANGALIZI WA UCHAGUZI

Na: Fortunatus Charles Kasomf Gaborone Botswana Balozi wa Tanzania anayehudumu katika nchi za Jamhuri Afrika Kusini, Falme ya Lesotho, Jamhuri ya Botswana na Sekretariati ya Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) Mhe. James G. Bwana ( kushoto) akimkabidhi Katibu Mtendaji wa Sekretarieti ya SADC Mhe. Elias Magosi ( kulia) barua ya…

Read More

MAREKANI YARIDHISHWA NA MAGEUZI YA KIUTENDAJI YA SERIKALI YA RAIS SAMIA

-Yaahidi kuendelea kutoa fedha kuisaidia Tanzania kutatua vikwazo vya ukuaji uchumi Shirika la Changamoto za Milenia (Millennium Challenge Corporation-MCC) la Serikali ya Marekani limeeleza kuridhishwa kwake na mageuzi ya mifumo ya kiutendaji, yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita katika maeneo mbalimbali ikiwemo uimarishwaji wa demokrasia, utawala bora na haki za binadamu. Hayo yamebainishwa wakati…

Read More