MRADI WA MAFUTA GHAFI EACOP WAFIKIA ASILIMIA 45.5

Mratibu wa Mradi wa EACOP kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Asiadi Mrutu akielezea maendeleo ya ujenzi wa mradi huo Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP), unaounganisha Hoima nchini Uganda na Chongoleani, Tanga, umefikia asilimia 45.5 katika hatua ya ujenzi ambapo shughuli za…

Read More

MUFTI AWATAKA WANANCHI WAJITOKEZE KWA WINGI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA WAPIGA KURA LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Alhaj Dkt Abubakar Zubeiry bin Ali amehimiza wananchi nchini kote kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili waweze kutimiza haki yao kikatiba ya kuwachagua viongozi wanaowataka wa Serikali za Mitaa katika maeneo wanapoishi. Mufti na Sheikh Mkuu ametoa wito huo…

Read More

Wimbo Mpya : AGNESS SULEIMAN Ft. CRIMMY – NIMEKOMA

Mwanamuziki na Muigizaji maarufu nchini  Tanzania Agness Suleiman 18 Oktoba  ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoenda kwa jina la ‘NIMEKOMA’ wenye uhalisia wa zouk (kompa) Kwa mujibu wa Agness Suleiman amesema tayari wimbo huo ambao amemshirikisha  Crimmy unapatikana kwenye ‘platform’ zote za muziki za mitandaoni ikiwemo Boomplay, Youtube,  iTunes,  Audiomack na zingine nyingi. Agness pia bado yupo…

Read More

Piga Mkwanja na Meridianbet Ijumaa ya Leo

Tusua mkwanja na Meridianbet leo ambapo ligi mbalimbali zimerejea baada ya wiki mbili nzito za mapumziko ya Kimataifa. Ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi lako sasa. Tutaanza kuangazia ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA ambapo leo kuna mchezo mmoja Borussia Dortmund atakuwa mwenyeji wa FC ST. Pauli huku tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni…

Read More

MAJIMBO KUMI  MKOA WA DODOMA KUSAMBAZIWA UMEME

Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, akiongea na Wanahabari leo tarehe 18 Oktoba, 2024 wakati wa hafla ya kumtambulisha mkandarasi, kampuni ya DERM Group (T) Ltd katika ukumbi wa mikutano wa Mkuu wa mkoa, Jijini Dodoma. ….. 🟢✳️Uwekezaji huo utaigharimu Serikali shilingi bilioni 18 katika kipindi cha miaka miwili 🟢✳️Kaya 4,950 zitanufaika na…

Read More

SERIKALI YATOA 3.5bn KUJENGA BARABARA YA LAMI MILOLA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imepeleka fedha za ujenzi wa barabara mkoani Lindi na amemwagiza Meneja wa TANROADS wa mkoa huo, Mhandisi Emil Silas Zengo ahakikishe barabara ya Kata ya Milola inawekwa lami mapema iwezekanavyo. Amefikia hatua hiyo baada ya Mhandisi Zengo kukiri kuwa walishapokea fedha kiasi cha sh.bilioni 3.5 ambazo zililenga kujenga barabara…

Read More

Suka jamvi lako na Meridianbet Ijumaa ya leo

Tusua mkwanja na Meridianbet leo ambapo ligi mbalimbali zimerejea baada ya wiki mbili nzito za mapumziko ya Kimataifa. Ingia kwenye akaunti yako na usuke jamvi lako sasa. Tutaanza kuangazia ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA ambapo leo kuna mchezo mmoja Borussia Dortmund atakuwa mwenyeji wa FC ST. Pauli huku tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni…

Read More