
PICHA-KAMATI YA FEDHA, UCHUMI NA BIASHARA YAKUTANA KUJADILI MUUNGANO
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiongoza kikao cha Kamati ya Fedha, Uchumi na Biashara ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SJMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) cha kujadili masuala ya Muungano kilichofanyika jijini Dodoma. Wa pili kulia ni Waziri wa Nchi…