Israel yathibitisha kumuua Yahya Sinwar – DW – 17.10.2024

Serikali ya Israel kupitia Waziri wake wa Mambo ya Nje Israel Katz imethibitisha kumuua Yahya Sinwar. Awali, jeshi la Israel lilikuwa likisubiri vipimo vya vijinasaba (DNA) ili kuthibitisha utambulisho kiongozi huyo aliyeuawa. Sinwar, anachukuliwa kama mratibu mkuu wa shambulio la Oktoba 7 mwaka 2023 dhidi ya Israel ambalo lilisababisha vifo vya karibu watu 1,200 huku…

Read More

TCAA YASHIRIKI KONGAMANO LA PILI LA KIMATAIFA KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI NA USAFIRISHAJI

Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)imeshiriki Kongamano la pili la Kimataifa katika sekta ya uchukuzi na usafirishaji Oktoba 17, 2024 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Kongamano hilo ambalo litajadili masuala mbalimbali yenye lengo la kuiinua sekta nzima ya uchukuzi na usafirishaji limefunguliwa na Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa. Akizungumza…

Read More