MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR- KUMUWAKILISHA RAIS WA ZANZIBAR- MKUTANO WA WATUNZA KUMBUKUMBU NA NYARAKA – DODOMA

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema kuwa utunzaji nzuri wa  kumbukumbu na Nyaraka unapelekea kwa kiasi kikubwa  katika kuchochea ukuaji wa uchumi na uwekezaji nchini.  Ameyasema hayo kwa niaba ya Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussen Ali Mwinyi katika Mkutano wa kumi…

Read More

LEONBET kumwaga fedha kwa watakao bashiri kwa usahihi matokeo ya Trump dhidi ya Kamala

Wakati joto la uchaguzi mkuu wa Rais wa Marekani uliopangwa kufanyika Novemba 5, 2024 likipanda, kampuni nyota ya michezo ya kubashiri nchini, LEONBET imetangaza kuwapa fedha watakaobashiri kiusahihi matokeo ya wagombea, Donald Trump na Kamala Harris. Meneja Mkuu wa LEONBET Tanzania, Tumaini Maligana alisema kuwa wameamua kupanua wigo wa kubashiri kwa wafuatiliaji wa siasa ili…

Read More

IN HONOR OF GENERAL DAVID MUSUGURI

Wednesday, 30th October 2024: In the morning light of Mara’s land, Where grasses whispered across red sand, A child of sun and soil was born, To rise, to serve, to bear the horn. A herder first, of goats and dreams, He wandered fields and watched the streams. Yet fate, with plans both strange and wise,…

Read More