Majaliwa awataka vijana kutumia fursa uwekezaji wa TEHAMA

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana kutumia fursa ya uwekezaji unaofanya na Serikali katika sekta ya TEHAMA ili kukuza uchumi binafsi na Taifa kwa ujumla. Ameyasema hayo leo Oktoba 17, 2024 wakati akimwakilisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika kilele cha Kongamano la Nane la Mwaka la TEHAMA, linalofanyika katika…

Read More

JKCI kuwafikishia wananchi wengi huduma za kibingwa

Na Mwandishi Wetu, Arusha Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imesema itahakikisha wananchi wengi wanafikiwa na huduma za kibingwa za uchunguzi na matibabu ya moyo kupitia program yake ya tiba mkoba ya Dk. Samia Suluhu Hasssan. Hayo yamesemwa leo Oktoba 17,2024 jijini Arusha na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Dk. Peter Kisenge wakati akizungumza na…

Read More

WATU MILIONI 300 AFRIKA KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA IFIKAPO 2030-  DKT. BITEKO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt. Doto Biteko akizungumza wakati wa Kongamano na Jukwaa la Majadiliano kuhusu Masuala ya Nishati  kwa Bara la Afrika( AEMP) kwa ngazi ya Mawaziri unaofanyika Jijini Dar es salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba akizungumza  wakati wa Kongamano na Jukwaa la Majadiliano kuhusu Masuala ya Nishati  kwa Bara la…

Read More

Mjadala wa Sheria ya Maharage ya Mung nchini Kenya Unasisitiza Kudhurika kwa Wakulima – Masuala ya Ulimwenguni

Sheba Ogalo na mumewe wakivuna mihogo katika shamba lao huko Chemelil. Wakikabiliwa na hali mbaya ya hewa, ikiwa ni pamoja na ukame, wamegeukia mihogo na mazao mengine yanayostahimili ukame ili kuendeleza maisha yao. Credit: Robert Kibet/IPS na Robert Kibet (kitu, kenya) Alhamisi, Oktoba 17, 2024 Inter Press Service KITUI, Kenya, Oktoba 17 (IPS) – Siku…

Read More