MAOMBI 131 YA WAFUNGWA KUJADILIWA MWANZA

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini (CGP) Jeremiah Yoram Katungu, jioni ya leo tarehe 16 Oktoba 2024, amempokea Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Taifa, Balozi Khamis Kagasheki, pamoja na aliyekuwa Kamishna mstaafu wa Jeshi la Magereza, Juma Malewa. Ujumbe wa Bodi hiyo unatarajia kufanya kikao katika Mkoa wa Mwanza kujadili maombi ya wafungwa 131,…

Read More

AS Monaco inakimbiza wiki kimya kimya Ligue 1

  As Monaco wanakimbiza mwizi kimya kimya ndio kauli ambayo unaweza kuitumia kwa klabu hiyo ambayo mpaka sasa ndio vinara wa ligi kuu nchini Ufaransa maarufu kama Ligue 1. Klabu ya As Monaco katika hali ya kushtusha wamefanikiwa kushika usukani wa ligi kuu ya soka nchini Ufaransa baada ya michezo saba ya ligi hiyo kuchezwa,…

Read More

Maonesho ya wiki ya chakula yahitimishwa Kagera,Naibu waziri afika banda la tume ya taifa ya umwagiliaji

Naibu waziri wa Kilimo Mh Devid Silinde amehitimisha maonyesho ya Wiki ya chakula duniani ambayo Kitaifa yamefanyika Mkoani Kagera. Awali ametembelea mabanda ya washiriki wa maonyesho hayo likiwemo banda la tume ya taifa ya umwagiliaji ambao wameshiriki tangu siku ya kwanza mpaka leo kilele chake. Aidha Mh Silinde amesema kuwa serikali wana mpango wa kujenga…

Read More

OnaStories Yaleta Mapinduzi katika Usafiri wa Daladala kwa Kutumia Teknolojia ya Uhalisia Pepe – MWANAHARAKATI MZALENDO

TAASISI ya OnaStories imezindua makala maalum kuhusiana na kada ya usafiri wa daladala kwa mfumo wa kidijitali, kwa lengo la kuifahamisha jamii ya Kitanzania na Kimataifa kutambua historia ya usafiri huo ulipoanzia. Makala hii ni sehemu ya Mradi wa UTANZANIA, ambao unachunguza “Utanzania ni nini?” na kuuliza ni nini hasaa kinachomtambulisha Mtanzania halisi. Mradi huu…

Read More

OnaStories Yazindua Makala ya Kihistoria kuhusu Usafiri wa Daladala kwa Teknolojia ya Uhalisia Pepe

TAASISI ya OnaStories imezindua makala maalum kuhusiana na kada ya usafiri wa daladala kwa mfumo wa kidijitali, kwa lengo la kuifahamisha jamii ya Kitanzania na Kimataifa kutambua historia ya usafiri huo ulipoanzia. Makala hii ni sehemu ya Mradi wa UTANZANIA, ambao unachunguza “Utanzania ni nini?” na kuuliza ni nini hasaa kinachomtambulisha Mtanzania halisi. Mradi huu…

Read More