LIVERPOOL, MAN CITY, ARSENAL VITA BADO MBICHI EPL

MSIMAMO wa ligi kuu ya Uingereza mpaka sasa unaongozwa na majogoo kutoka Anfield klabu ya Liverpool, Lakini wapinzani wao wa karibu vilabu vya Arsenal pamoja na mabingwa watetezi klabu ya Manchester City wakiwafukuzia kwa karibu. Liverpool ambao wamecheza michezo saba mpaka sasa wanaongoza msimamo wa ligi hiyo pendwa duniani kwa alama 18, Kwani wamefanikiwa kushinda…

Read More

MKUU WA CHUO IAA AFIKISHWA MBELE YA BARAZA LA MAADILI

Na Gideon Gregory, Dodoma. Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma imemfikisha mbele ya Baraza la maadili, Mkuu wa Chuo cha Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamin Sedoyeka kwa malalamiko Manne ya kukiuka maadili ya viongozi wa umma. Akisoma malalamiko yanayomkabili Prof. Sedoyeka leo Jijini Dodoma mbele ya Mwenyekiti Jaji Mstaafu Rose Teemba Wakili…

Read More

WAZIRI WA ULINZI AONGOZA KUAGA MWILI WA MAREHEMU MEJA JENERALI CHARELS MBUGHE (MSTAAFU) LUGALO

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga taifa Dkt. Stergomena Tax akisaini kitabu ya mahudhiro katika msiba wa aliyekuwa Meja Jenerali wa Jeshi wa Wananchi(JWTZ), Charlse Mbunge. Na mwandishi wetu…………….. Mwili wa aliyekuwa Meja Jenerali wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) Charles Mbuge umeagwa leo katika hospitali kuu ya JWTZ jijini Dar es salaam na kusafirishwa…

Read More

MHANDISI MAJALA AKABIDHI PIKIPIKI KWA CBWSO SHINYANGA

Mkurugenzi wa Ufundi wa RUWASA Makao Makuu, Mhandisi Mariam Majala akiwa amepanda kwenye moja ya Pikipiki nane zilizotolewa kwa CBWSO Mkoa wa Shinyanga. Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Katika hatua ya kukabiliana na changamoto za upatikanaji wa huduma za maji safi na usafi wa mazingira katika maeneo ya vijijini, Mkurugenzi wa Ufundi wa…

Read More

Gachagua kikaangoni Bunge la Seneti

  Bunge la Seneti nchini Kenya, limeanza kujadili hoja ya kumwondoa madarakani, Naibu Rais wa nchi hiyo, Rigathi Gachagua, leo Jumatano tarehe 16 Oktoba 2024. Mjadala huo wa siku mbili kuanzia leo, unakuja wiki moja baada ya wabunge kupiga kura ya kumwondoa kwenye wadhifa huo Jumanne ya wiki iliyopita, akituhumiwa kwa makosa 11. Bunge hilo…

Read More

Vita nchini Kongo yaongeza mzozo wa afya ya akili – DW – 16.10.2024

Makundi ya misaada yanasema idadi ya watu wanaohitaji huduma za afya imeongezeka mno wakati mapigano nayo yakishika kasi. Wengi wamekata tamaa, kiasi cha kutamani kujiua, wakidhani hiyo ndio namna ya kujipumzisha dhidi ya madhila yanayowakabili.  Nelly Shukuru, mwenye miaka 51, aliyeyakimbia makazi yake kutokana na mapigano, alijikuta njia panda, hata akatamani kujiua ili kuhitimisha madhila…

Read More