Serikali kusimamia shughuli za Uchumi wa Buluu

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Serikali imesema itaendelea kusimamia na kuratibu kwa ufanisi shughuli za Uchumi wa Buluu nchini ili kuhakikisha wananchi wananufaika kwa kutumia rasilimali hizo kwa ukuaji wa uchumi na maendeleo endelevu. Hayo yameelezwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Ashatu Kijaji wakati wa Kikao cha…

Read More

Taswa Mwambao Marathon kufanyika Desemba 22 jijini Tanga

MBIO za TASWA Mwambao Marathon  zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), ambazo awali zilikuwa zifanyike mwishoni mwa mwezi uliopita sasa zitafanyika Desemba 22, 2024 jijini Tanga. Siku moja kabla ya mbio hiyo kutafanyika Mkutano Mkuu wa TASWA asubuhi ya Desemba 21, 2024 jijini Tanga na baadaye mchana siku hiyo hiyo…

Read More

VYUO VIKUU VYASHAURIWA KUWEKEZA KWA VIJANA

Vyuo vikuu hapa nchini vimeshauliwa  kuwekeza kwa vijana  kwa kuwapatia mitaji  wakiwa bado wanafunzi  ili waweze kuendeleza mawazo ambayo wanayo  ili  kujiari  na kupunguza  wimbi la  kukosekana kwa ajira pindi wamalizapo masomo pia kuweza kuwaajili vijana wenzao.  Hayo yamebainishwa na umoja  wa wanafunzi ambao walisha wahi kusoma Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo ikiwa na…

Read More

MNH MLOGANZILA YAIMARISHA HUDUMA ZA MAGONJWA YA UBONGO NA MISHIPA YA FAHAMU

Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imeanzisha kitengo maalum kwa wagonjwa wa kiharusi ili kuhakikisha wagonjwa wa kiharusi wanapata huduma stahiki kwa haraka ikiwa ni mkakati wa kuendelea kupunguza vifo na madhara ya muda mrefu yatokanayo na ugonjwa huo. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji MNH Prof. Mohamed Janabi alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu kuboreshwa…

Read More

Watumishi waaswa Ulevi na Rushwa,enendeni kwa maadili kazini

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetoa Mafunzo Elekezi ya Awali kwa watumishi wapya 80 ambao wameajiriwa hivi karibuni ikiwa ni Mpango unaoandaliwa na Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu katika kuwaandaa waajiriwa wapya kuendana na Misingi ya Maadili ya Utendaji kazi katika Utumishi wa Umma. Akifungua Mafunzo hayo huku akimwakilisha Katibu Mkuu,Katibu wa Sekretarieti…

Read More

WAFUGAJI WAMETAKIWA KUACHA KUFUGA KWA MAZOEA

 NA FARIDA MANGUBE  Wafugaji wametakiwa kuachana na ufugaji wa mazoea badala yake watumie ushauri wa wataalamu wa afya ya mifugo ili kuongeza uzalishaji utakao leta tija kwa wafugaji sambamba na kudhibiti magonjwa. Ushauri huo umetolewa na Rasi wa Ndaki ya Tiba ya Wanyama na Sayansi za Afya, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Profesa…

Read More