MHE. RIDHIWANI: TUNAPELEKA MWENGE WA UHURU MLIMA KILIMANJARO KUITANGAZIA DUNIA MUUNGANO WETU UPO IMARA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Tanzania inapeleka mwenge wa uhuru juu ya mlima Kilimanjaro ili kuitangazia dunia kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni imara na pia itaendelea kulinda Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Aidha, Waziri Ridhiwani Kikwete amesema kuwa kwa mwaka huu…

Read More

DED LUDEWA ATOA NAFASI KWA WATUMISHI KWENDA KUJIANDIKISHA

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Sunday Deogratius, amewataka watumishi wote wa serikali wa Halmashauri hiyo kuhakikisha wanajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura linaloendelea kote nchini huku akipunguza masaa ya kazi Ili waweze kutimiza adhma hiyo. Deogratius amesema katika siku hizi za kujiandikisha watumishi wote ambao bado hawajajiandikisha wanapaswa kutoa taarifa kwa wakuu wao…

Read More

MAAFISA WA OYA KIZIMBANI KWA MAUAJI YA MJASIRIAMALI

Na Khadija Kalili Michuzi Tv Wafanyakazi wanne wa Taasisi ya Mikopo almaarufu kwa jina la OYA leo tarehe 16 Oktoba ,2024 wamefikishwa Mahakamani kwa kosa la mauaji ya kukusudia na kumuua Juma Said Seif (45),mkaazi wa Kitongoji cha Mbagala Mlandizi Mkoani Pwani Oktoba 7,2024 Akisoma shitaka hilo Wakili wa Serikali Monica Mwela mbele ya Hakimu…

Read More

REA YAPELEKA UMEME VITONGOJI 120 KIGOMA

Rais Samia ametoa shilingi bilioni 14 kutekeleza mradi huo. *Mradi kupeleka umeme katika vitongoji 15 kwa kila jimbo Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye majimbo 15 ya Mkoa wa Kigoma ambao utawezesha jumla ya vitongoji 120 kupata umeme wa uhakika utakaowarahisishia kufanya shughuli za kiuchumi na kujenga Taifa. Hayo…

Read More

Mrema akumbukwa Maonesho ya LANDROVER FESTIVAL .

Na Jane Edward, Arusha Wadau wa sekta ya utalii kutoka kampuni ya Classic Tours&Safaris ambao ni wamiliki wa hotel ya kitalii ya Ngurdoto Mountain Lodge iliyopo jijini Arusha wamesema uwepo wa maonyesho ya magari aina ya Landrover(LANDROVER FESTIVAL) imeleta fursa nyingi ya kuwakutanisha na watu kutoka maeneo mbalimbali na kupata fursa za kibiashara. Beatrice Dimitris…

Read More