Mamilioni ya watu wanakabiliwa na njaa Kusini mwa Afrika – DW – 16.10.2024

Hali hiyo inayotishia kusababisha mgogoro wa kiutu imeshawaathiri watu wasiopungua milioni 27 katika kanda hiyo. Nchi tano zikiwemo Lesotho Malawi, Zambia na Zimbabwe zimeshatangaza hali ya hatari katika miezi iliyopita wakati ukame ukiyaangamiza mazao na mifugo. Shirika la Mpango wa chakula duniani WFP limeeleza katika mkutano wake wa na wanahabari mjini Geneva Jumanne kuwa Angola…

Read More

MWENGE WA UHURU KUPANDISHWA MLIMA KILIMANJARO

Na Linda Akyoo – Moshi. Mara baada ya Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri jeshi Mkuu Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kuukabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Mkuu wa Majeshi,Luteni Kanali Halid Hamis Hamad na kumpa jukumu la kupandisha Mwenge huo kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro tarehe 04 Oktoba, 2024. Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro…

Read More

MSAFARA WA VODACOM TWENDE BUTIAMA 2024 WAHITIMISHWA BUTIAMA KWA MAFANIKIO MAKUBWA

Msafara wa kihistoria wa Vodacom Twende Butiama 2024 umekamilika rasmi mnamo tarehe 13 Oktoba kwa mafanikio makubwa, ukihitimishwa wilayani Butiama, kijijini kwa Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Julius K. Nyerere katika mkoa wa Mara.  Msafara huo, uliowakutanisha waendesha baiskeli zaidi ya 100 kutoka Tanzania na nchi jirani, ulifanyika kuanzia tarehe 29 Septemba na kupita katika…

Read More

DC MAGOTI ATOA TAHADHARI DHIDI YA MIKOPO KAUSHA DAMU

Na Mwamvua Mwinyi, Kisarawe Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mkoani Pwani Petro Magoti, ametoa tahadhari kwa baadhi ya vijana na akinamama kujiepusha na mikopo ya kibiashara isiyo na nafuu ambayo inafahamika kwa “mikopo ya kausha damu.” Alisisitiza kuwa mikopo hiyo inaleta mzigo mkubwa wa kifedha kwa wakopaji na kudhalilika . Alitoa tahadhari hiyo kwenye muendelezo…

Read More

DC Magoti aahidi kuendeleza na kutunza miundombinu ya unawaji mikono iliyojengwa na Shirika la Water Aid Kisarawe

MKUU wa Wilaya ya Kisarawe, Peter Magoti, ameahidi kuendeleza na kutunza miundombinu ya unawaji mikono iliyojengwa na Shirika la Water Aid katika uhamasishaji wa watu kunawa mikono. Magoti aliyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya kunawa mikono iliyofanyika katika shule ya Msingi Kazumzumbwi Wilayani ya Kisarawe ambapo siku hii huadhimishwa ifikapo Oktoba 15, duniani kote….

Read More

RAIS MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKABIDHI TUZO KWA NSSF YA USIMAMIZI NA URATIBU WA HIFADHI YA JAMII KWA SEKTA BINAFSI NCHINI

  Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeshinda tuzo ya Usimamizi na Uratibu wa Hifadhi ya Jamii kwa Sekta Binafsi  nchini, wakati wa kilele cha Maonesho ya Saba ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yaliyofanyika kwenye uwanja wa EPZ Bombambili, mkoani Geita. Tuzo hiyo imetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

Read More