Tunaendelea kuwekeza kwenye TEHAMA – Mhe. Silaa.

Na Grace Semfuko, Maelezo. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Jerry Silaa, amesema Serikali imeendelea kuwekeza kwenye Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), na kufanya maboresho ya kisera, kisheria na kitaasisi pamoja na kujenga uwezo kwa watanzania, lengo likiwa ni kuifanyia Tanzania kuwa sehemu ya mabadiliko ya teknolojia Duniani. Mhe. Silaa ameyasema…

Read More

World Told Act Sasa au Ukabiliane na Miaka 136 ya Njaa, Ripoti Yaonya – Masuala ya Ulimwenguni

Ulimwengu lazima uchukue hatua kuboresha usalama wa chakula, ambao uko hatarini kutokana na migogoro na mabadiliko ya hali ya hewa. Credit, Busani Bafana/IPS by Busani Bafana (bulawayo, zimbabwe) Jumanne, Oktoba 15, 2024 Inter Press Service BULAWAYO, Zimbabwe, Oktoba 15 (IPS) – Siku ya Chakula Duniani 2024 Kiwango cha juu cha njaa kitaendelea kwa miaka mingine…

Read More

WANAWAKE WAHIMIZWA KUCHUKUA MIKOPO INAYOTOLEWA NA SERIKALI KUJIKWAMUA KIUCHUMI 

KAIMU Afisa Ustawi wa Jamii Jiji la  Dodoma Dkt. Faudhia Mohamed,akizungumza wakati wa Maadhimisho ya siku ya Mwanamke anayeishi Kijijini yaliyofanyika leo Oktoba 15,2024 katika Kata ya Mpunguzi Jijini Dodoma Na.Gideon Gregory-DODOMA KAIMU  Afisa Ustawi wa Jamii Jiji la Dodoma Dkt.Faudhia Mohamed ametoa rai kwa wanawake kwenda katika Halmashauri kuchukua mikopo ya wakina Mama inayotolewa…

Read More

Changamoto na mchango wa wanawake vijijni katika maendeleo – DW – 15.10.2024

  Wanawake wanaoishi vijijini wamezungumzia changamoto wanazopitia kutokana na mazingira yao, ambazo wameeleza kuwa zinawanyima fursa adhimu za kimaendeleo, kiuongozi, kiuchumi, na kijamii. DW imezungumza na wanawake kutoka maeneo tofauti ya vijijini hapa nchini, na wakaeleza changamoto wanazopitia kutokana na mazingira yao. Aneth Mwinama, Mkazi wa Kijiji cha Chikunja, Wilaya ya Masasi, Mtwara, anasema mifumo…

Read More