Vyombo vya Habari vyatakiwa kuhamasisha jamii kufanya uchunguzi wa magonjwa yasiyoambukiza

Na Mwandishi Wetu Wahariri wa vyombo vya habari nchini wametakiwa kutumia vyombo hivyo kuihamasisha jamii kufanya uchunguzi wa afya upande wa magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo magonjwa ya moyo. Rai hiyo imetolewa jana na Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Dk. Tulizo Shemu alipokuwa akizungumzana wahariri hao waliofika kufanya uchunguzi…

Read More

Serikali yahimiza wabunifu majengo na wakadiriaji kuchangamkia fursa za miradi mikubwa

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Serikali imetangaza kuendelea kutoa hamasa kwa wataalam wa ubunifu wa majengo na ukadiriaji majenzi ili kuchangamkia fursa za ajira katika miradi mikubwa inayoendelea nchini, hatua inayolenga kukuza sekta ya ujenzi ikiwemo kuendana na mabadiliko ya teknolojia. Akizungumza katika mkutano wa tano wa Bodi ya Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi uliofanyika…

Read More