Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: October 2024

  • Home
  • 2024
  • October
  • Page 9
Habari

DC MPOGOLO AWATAKA WABUNIFU NA WAKADIRIAJI MAJENZI KUWA WAZALENDO

October 30, 2024 Admin

  Na Humphrey Shao, Michuzi tv  Mkuu wa wilaya ya Ilala Edward Mpogolo ametoa wito kwa Wabunifu na Wakadiriaji majenzi nchini kuwa Wazalendo, Waadilifu na

Read More
Kimataifa

Kusawazisha bayoanuwai katika mkutano wa kilele wa Umoja wa Mataifa nchini Kolombia – Masuala ya Ulimwenguni

October 30, 2024 Admin

Zaidi ya mataifa 190 yalitia saini mkataba huo Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Anuwai za Kibiolojia nchini Colombia kwa ajili ya Mkutano wa 16

Read More
Habari

Diaspora wapewa mafunzo ya Kiswahili Msumbiji ili wawafundishe wageni

October 30, 2024 Admin

Baraza la Kiswahili la Taifa BAKITA, limeendelea kuteleleza Mpango wa Taifa wa Ubidhaishaji wa Kiswahili nje ya Nchi ambapo kupitia Wataalamu wake Edward Nnko na

Read More
Habari

Vyombo vya Habari vyatakiwa kuhamasisha jamii kufanya uchunguzi wa magonjwa yasiyoambukiza

October 30, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu Wahariri wa vyombo vya habari nchini wametakiwa kutumia vyombo hivyo kuihamasisha jamii kufanya uchunguzi wa afya upande wa magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo magonjwa

Read More
Habari

Kanisa liwaondoe mapadri wa kashfa za unyanyasaji – DW – 30.10.2024

October 30, 2024 Admin

Ripoti hiyo ya kina kutoka kwa Tume ya Kipapa ya ulinzi wa watoto ni ya kwanza tangu ilipoundwa naPapa Francismnamo mwaka 2014 kujaribu kushughulikia unyanyasaji

Read More
Habari

“Rumble in the Jungle” yakumbukwa baada ya miaka 50 – DW – 30.10.2024

October 30, 2024 Admin

Alfred Mamba alikuwa na umri wa miaka 12 tu wakati bingwa wa ndondi Muhammad Ali alipowasili Kinshasa, mji mkuu wa Zaire wakati huo, mnamo Oktoba

Read More
Habari

Serikali yahimiza wabunifu majengo na wakadiriaji kuchangamkia fursa za miradi mikubwa

October 30, 2024 Admin

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Serikali imetangaza kuendelea kutoa hamasa kwa wataalam wa ubunifu wa majengo na ukadiriaji majenzi ili kuchangamkia fursa za ajira katika

Read More
Habari

HESLB yatangaza awamu ya Nne ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Shahada na Stashahada

October 30, 2024 Admin

*Wanafunzi 9068 wapangiwa mikopo ya Sh bilioni 27.5 awamu ya Nne Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu

Read More
Habari

Mfalme wa Morocco amuandalia Dhifa ya chakula cha jioni kwa heshima ya Rais Macron na mkewe

October 30, 2024 Admin

Rabat,Morocco Mfalme Mohammed VI wa Morocco, akiwa ameandamana na familia ya kifalme wakiwemo Mrithi wa Kiti cha Ufalme Moulay El Hassan, Prince Moulay Rachid, na

Read More
Habari

Zaidi ya watu 50 wamefariki baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko Uhispania

October 30, 2024 Admin

Zaidi ya watu 50 wamefariki kutokana na mafuriko katika baadhi ya maeneo nchini Uhispania huku mvua kubwa ikinyesha na kugeuza mitaa kuwa mito na kutatiza

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 8 9 10 … 184 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.