Waziri Silaa: Tunaendelea kuwekeza kwenye TEHAMA

Na Grace Semfuko, Maelezo Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, amesema Serikali imeendelea kuwekeza kwenye Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) na kufanya maboresho ya kisera, kisheria na kitaasisi pamoja na kujenga uwezo kwa watanzania, lengo likiwa ni kuifanyia Tanzania kuwa sehemu ya mabadiliko ya teknolojia duniani. Silaa ameyasema hayo leo…

Read More

Taifa Stars hoi nyumbani – Mtanzania

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imefungwa mabao 2-0 na DR Congo katika mchezo wa kundi H wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya (AFCON), uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Mkapa, jijini Dar es Salaam. Mabao ya DR Congo yamefungwa na Meschack Elia. Mchezo wa kwanza timu hizo…

Read More

Iran yalaani vikwazo vipya dhidi yake – DW – 15.10.2024

Umoja wa Ulaya na Uingereza umewawekea vikwazo watu saba na pia mashirika saba, likiwemo shirika la ndege la Iran kwa kuhusika na usafirishaji wa makombora ya masafa marefu ya Iran kwenda Urusi. Mwezi uliopita, Marekani, ilinukuu taarifa za kijasusi ambazo ilisema imewapelekea pia washirika wake, kwamba Urusi ilikuwa imepokea makombora kutoka Iran, kuisaidia katika vita vyake…

Read More

KWS wahamisha ndovu 50 – DW – 15.10.2024

Helikopta na Sindano za Usingizi Shughuli hiyo ya kuwachoma sindano ya usingizi ndovu huanza asubuhi kabla ya wanyama kuchoka na jua kupanda. Wakiwa kwenye ndege aina ya helikopta, wataalam wa idara ya wanyamapori walianza kwa kuwachoma mshale wa dawa ya usingizi ndovu hao. Pindi dawa inapoanza kufanya kazi, ndovu anadondoka kwa usingizi na ndipo kazi…

Read More

Jeshi la Zimamoto Laimarisha Huduma za Uokoaji Majini

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, CGF. John Masunga, ametangaza kuwa jeshi hilo limechukua hatua madhubuti za kuimarisha kikosi cha uzamiaji na waogeleaji kwa ajili ya kuboresha huduma za uokozi majini. Lengo kuu la hatua hii ni kuhakikisha usalama wa wananchi wanaotumia vyombo vya majini na wale wanaofanya shughuli zao katika maji, hasa…

Read More

Mbeya, Tanga kuzalisha tani milioni 4 za saruji

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Upatikanaji wa saruji nchini unatarajiwa kuongezeka kutokana na upanuzi wa kiwanda cha saruji Mbeya na ujenzi wa kiwanda kipya jijini Tanga vitakavyozalisha tani milioni 4.2 kwa mwaka. Hatua hiyo inafuatia baada ya Serikali ambayo inamiliki Mbeya Cement kwa asilimia 25 ya hisa na NSSF asilimia 10 kushirikiana na mbia mwenza…

Read More