Waziri atoa maelekezo FITI – Mtanzania

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dk. Pindi Chana amekielekeza Chuo cha Viwanda vya Misitu Moshi (FITI) kujitangaza ili kupata soko la kuuza bidhaa za misitu zinazozalishwa na chuo hicho. Ametoa kauli hiyo leo Oktoba 15,2024 alipozungumza na uongozi wa chuo hicho wakati wa ziara ya kikazi katika chuoni hapo…

Read More

KAMPUNI YA NYOTA YAZINDUA CASINO MTANDAO ‘NYOTA CASINO’.

Katika harakati za kuwakwamua vijana kiuchumi, kampuni ya Nyota imezindua rasmi Casino mtandao inayoitwa “Nyota Casino” ambayo mtumiaji atacheza michezo mbalimbali itakayomwezesha kushinda pesa Kila wakati kupitia simu au kifaa kingine Cha kielektroniki. Mbali na kucheza mtumiaji atakayemshikirikisha rafiki yake kuingia na kucheza michezo kupitia Nyota Casino atalipwa asilimia 5 ya kiasi atakachotumia mtumiaji wa…

Read More

VIJANA WAPAZA SAUTI JUU YA UHARIBIFU WA MAZINGIRA.

Na Pamela Mollel,Arusha Vijana wanaharakati wa mazingira wameshauri kuwepo kwa mkakati wa kimataifa wa kuliokoa bara la Afrika kutokana na athari za uharibifu wa mazingira yanayochangiwa na mataifa yaliyoendelea. Wametoa ushauri huo katika mkutano wa Haki ya Mazingira uliowakutanisha vijana kutoka mataifa zaidi ya 100 Duniani, mkoani Arusha uliolenga kujadili mbinu endelevu za kupunguza athari…

Read More

Rich Panda kukupandisha kwenye mkwanja

  Najua unajiuliza unaifanyaje wiki yako kua ya kipekee sasa basi kupitia mchezo wa Kasino wa Rich Panda ambao unapatikana pale kwenye tovuti ya Meridianbet ndio suluhusiho lako, Kwani kupitia mchezo huu unaweza kua milionea mpya mjini ndani ya kipindi kifupi. Rich Panda yenyewe ipo tayari kukupandisha kwenye mkwanja na uweze kushinda donge nono kwelikweli,…

Read More

‘’NAKWENDA KUTAFUTA BILIONI 3.6 NIZILETE ILI VIVUKO VIKAMILISHWE’’ RAIS SAMIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kupeleka Shilingi Bilioni 3.6 ambazo mkandarasi anazidai ili aweze kukamilisha ujenzi wa vivuko vipya vinavyoendelea kujengwa Mkoani Mwanza pamoja na Mkoani Dar es Salaam. Rais Samia ametoa ahadi hiyo Tarehe 14 Oktoba, 2024 alipokuwa akizungumza na Wananchi wakati wa maadhimisho ya Kilele…

Read More