TIA Yasaini Mkataba na Kampuni ya Salem Construction Kwaajili ya ujenzi wa jengo kampasi ya Singida – MWANAHARAKATI MZALENDO

TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA), imesaini mkataba na kampuni ya Salem Construction kwaajili ujenzi wa jengo la kampasi yake mkoani Singida ambapo mkataba huo utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 13.5. Mkataba huo utachukua miezi 24 hadi kukamilika kwa ujenzi jengo hilo mkoani Singida. Akizungumza leo Oktoba 15,2024 katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye ofisi za taasisi…

Read More

MABONDIA 10 PAMBA LA HOMA YA SGR WAPIMA AFYA DAR

ZAIDI ya mabondia 10 wamepima afya kuelekea pambano la ‘Homa Ya SGR’ itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu Mkoani Morogoro. Mabondia hao ni Paul Kamata, Osama Arabi, Hassan Ndonga, Debora Mwenda, Abuu Lubanja, Adam Peter, Haruna Ndaro, Abdallah Ponda, Hamza Mchanjo, Shazir Hija, Hamadi Furahisha na Ibada Jafari. Daktari wa Kamisheni ya Ngumi za kulipwa Tanzania…

Read More

Vodacom Tanzania Yazindua Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa Kupeleka Huduma Mtaani – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mteja wa muda mrefu wa Vodacom Tanzania Plc, George Nyamugali (wa nne kutoka kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja, Harriet Lwakatare wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja yaliyofanyika jumatatu katika Soko la Mabibo jijini Dar es Salaam. Ili kusherehekea wiki ya huduma kwa Wateja, Wafanyakazi wa kampuni hiyo…

Read More

Israel yasema ‘maslahi ya taifa’ kwanza katika kuijibu Iran – DW – 15.10.2024

Taarifa kwamba Israel itasikiliza maoni ya Marekani lakini wakati wote itachukua hatua kwa kuzingatia maslahi yake ya kitaifa imetolewa ili kujibu maswali ya waandishi wa habari kuhusu ripoti iliyochapishwa kwenye jarida la Washington Post juu ya maafisa ambao hawakutajwa majina waliosema kuwa Netanyahu alimwambia Rais wa Maredkani Joe Biden kwamba Israel inapanga kuvishambulia vituo vya kijeshi vya…

Read More

Mwendendo wa Uandikishaji Jiji la Dodoma

Na. Faraja Mbise, DODOMA Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Frederick Sagamiko amekanusha taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu mwenendo wa uandikishaji kuwa wanaandikishwa mamluki kwenye orodha ya wapiga kura. Kanusho hilo alilitoa ofisini kwake alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kufuatia tuhuma zilizotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema…

Read More