
TIA Yasaini Mkataba na Kampuni ya Salem Construction Kwaajili ya ujenzi wa jengo kampasi ya Singida – MWANAHARAKATI MZALENDO
TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA), imesaini mkataba na kampuni ya Salem Construction kwaajili ujenzi wa jengo la kampasi yake mkoani Singida ambapo mkataba huo utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 13.5. Mkataba huo utachukua miezi 24 hadi kukamilika kwa ujenzi jengo hilo mkoani Singida. Akizungumza leo Oktoba 15,2024 katika hafla hiyo iliyofanyika kwenye ofisi za taasisi…