
RAIS SAMIA ASISITIZA VIJANA KULINDA AFYA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,akizungumza leo Oktoba 14, 2024, katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kwenye hitimisho la Wiki ya Vijana, kumbukizi ya miaka 25 ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, pamoja na Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024….