UDPS yasisitiza kuyataka – DW – 14.10.2024

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, chama tawala cha Rais Félix Tshisekedi, UDPS, hakiwezi kurudi nyuma katika mtazamo wake wa kubadili katiba. Viongozi wa UDPS wanadai kwamba katiba ya mwaka 2006 imekuwa kikwazo katika kukabiliana na changamoto za kisasa, huku mbunge Adolphe Amisi Makutano akisisitiza kuwa ni wakati muafaka kwa Wakongo kufikiria katiba mpya isiyo…

Read More

Miaka 25 bila Mwalimu Nyerere – DW – 14.10.2024

Katika maadhimisho haya, wachambuzi wa siasa wamesema kuwa viongozi wa sasa bado hawajaakisi kikamilifu misingi aliyoiweka Nyerere, hasa katika eneo la umoja, maendeleo, na ushirikiano wa kikanda.  Deus Kibamba, mchambuzi wa masuala ya siasa na mwanadiplomasia, ameweka wazi kuwa Nyerere alikuwa na uthubutu wa kufanya maamuzi magumu, ambayo ni nadra kuona leo. “Kila mtu anakubali…

Read More

Utalii unachangia asilimia 17 pato la Taifa

Waziri Balozi Pindi Chana afunga Onesho la 8 la Utalii la Kimataifa la Swahili, awahimiza Watanzania kutunza na kuhifadhi Rasilimali Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana amefunga Onesho la Nane la Utalii la Kimataifa la Swahili kwa kuwahimiza Watanzania kuzitunza na kuhifadhi rasilimali zilizopo nchini ili kuendelea kukuza Sekta ya Utalii. Balozi…

Read More

Rais Samia Suluhu Hassan: Kiongozi Anayeweka Tanzania Kwenye Ramani ya Maendeleo ya Sekta ya Madini

Tarehe 13 Oktoba, 2024, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alifunga rasmi Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini yaliyofanyika mkoani Geita. Hafla hii ilikuwa ishara nyingine ya uongozi wa kipekee wa Rais Samia, ambaye ameendelea kuweka mbele maendeleo ya sekta muhimu zinazoweza kuinua uchumi…

Read More

Wafanyakazi wazidisha masaibu ya kampuni ya Volkswagen – DW – 14.10.2024

Takriban mwaka mmoja uliopita, Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi wa VW, Daniela Cavallo, tayari alionya kwamba mtengenezaji mkubwa zaidi wa magari barani Ulaya anaelekea kwenye “dhoruba kamili.” Inaonekana dhoruba hiyo sasa imewasili baada ya uongozi wa VW kutangaza hivi karibuni kwamba utalazimika kufunga kiwanda kimoja, ikiwezekana viwili, nchini Ujerumani na kupunguza maelfu ya kazi kutokana…

Read More