TAMWA na TCRA waandaa tuzo ‘Samia Kalamu Awards’

-Katika kuchochea uandishi wa habari za maendeleo Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wameandaa Tuzo ya Samia Kalamu ‘Samia Kalamu Awads ‘ kwa Waandishi wa habari kuandika habari za maendeleo katika nyanja mbalimbali. Kauli mbiu ya Tuzo hizo ni Uzalendo ndio…

Read More

UNAKAAJE KINYONGE WAKATI KUNA RICH PANDA?

HABARI ya mjini sasa hivi ni Rich Panda mchezo mpya wa Sloti ambao unatoa fursa ya kushinda mkwanja wa kutosha kupitia mchezo huu pendwa kwasasa mjini. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita kutokana na namna rahisi ya kuweza kucheza mchezo huu, Pitia tovuti ya Meridianbet sasa uweze kucheza mchezo…

Read More

Tuna deni kwa vizazi vijavyo kuunda kesho iliyo salama, mkuu wa Umoja wa Mataifa anasema katika Siku ya Kimataifa – Masuala ya Ulimwenguni

Katika a ujumbe kuashiria Jumapili Siku ya Kimataifa ya Kupunguza Hatari za MaafaAntónio Guterres aliangazia athari kubwa ya majanga kwa watoto. “Majanga yanapotokea, yanaleta uharibifu mkubwa kwa watu binafsi, jamii na uchumi. Athari mbaya za kifo, uharibifu na kuhamishwa haziwezi kufikiria. Leo, majanga mara nyingi yanachangiwa na mzozo wa hali ya hewa, na kuongeza kasi…

Read More

Vijana kunufaika kidijitali na fursa za Ununuzi wa Umma

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Tanzania imeadhimisha Wiki ya Vijana Kitaifa mwaka 2024 kwa kaulimbiu inayosema, “Vijana na Matumizi ya Fursa za Kidijitali kwa Maendeleo Endelevu.” Kaulimbiu hii inalenga kuhimiza vijana kuchangamkia fursa katika uchumi wa kidijitali na matumizi sahihi ya mitandao. Mkurugenzi Mkuu wa PPRA akiwa ametembelea banda la Brela kwenye maonesho ya wiki…

Read More