Baba wa aliyechoma picha ya Rais aiangukia Serikali

Mbeya. Ikiwa imepita miezi miwili tangu kutoweka kwa msanii wa uchoraji, Shadrack Chaula (24), baba yake mzazi, Yusuph Chaula (56) ameiomba Serikali kufanya uchunguzi wa kina kujua aliko mwanaye. Mzee Chaula amesema tangu kutoweka kwa kijana wake kama familia wanaishi matumbo moto, huku jitihada za za kumtafuta zikiendelea bila mafanikio. Shadrack alitoweka baada ya kuchukuliwa…

Read More

Familia yabainika kuzika mwili usio wa ndugu yao

Moshi. Mwili wa Richard Shoo (31) uko wapi? Hilo ni swali ambalo wanafamilia wanajiuliza, baada ya mwili waliokuwa wameuzika awali kubainika kuwa si wa ndugu yao, bali ni wa Jackson Joseph (29). Ni siku 57 zimepita, tangu mwili huo uliokuwa ukigombaniwa na familia mbili kufukuliwa kwa amri ya Mahakama kwa ajili ya uchunguzi wa vinasaba…

Read More

Wanawake kupewa unafuu mabadiliko ya tabia nchi

Dar es Salaam. Ukosefu wa elimu, miundombinu duni, na kukosekana kwa sera bora zimetajwa kuwa changamoto kubwa kwa wanawake katika juhudi zao za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, ikiwamo ukame. Changamoto hizo zinapelekea wanawake wengi kukosa taarifa muhimu kama za mikopo, ambayo ingewasaidia kujiendeleza kiuchumi. Hayo yamebainishwa Oktoba 31, 2024, katika majadiliano ya…

Read More

Mwelekeo bajeti 2025/26 ni Sh55.06 trilioni

Dodoma. Serikali inakadiria kukusanya na kutumia Sh55.06 trilioni kwa mwaka 2025/26, ikitaja maeneo sita ya kipaumbele ikiwamo kugharamia maandalizi ya uchaguzi mkuu mwakani. Hayo yamesemwa leo Novemba Mosi, 2024 na Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba alipowasilisha bungeni mapendekezo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2025/26. Amesema kati ya…

Read More

Sh21 bilioni kumaliza kero ya maji Buchosa

Sengerema. Huenda adha ya uhaba wa maji kwa wakazi wa Buchosa wilayani Sengerema ikamalizika baada ya Serikali kuanza utekelezaji wa miradi yenye thamani ya zaidi ya Sh21 bilioni. Miradi hiyo inahusisha uchimbaji wa visima na ujenzi wa miradi ya maji ya bomba ya Bugoro, Bupandwa, Kafunzo, Kazunzu na Bulyaheke. Matumaini hayo yametolewa na Mbunge wa…

Read More

Umoja wa Mataifa Ulisalia Kupooza Kama “Mataifa Ya Jaji” Yanayokiuka Mkataba na Kuongeza Uhalifu wa Kivita – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: UN Photo/Manuel Elías na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Ijumaa, Novemba 01, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Nov 01 (IPS) – Umoja wa Mataifa unaendelea kudhoofika—na unabakia kutokuwa na uwezo wa kisiasa katikati ya migogoro miwili inayoendelea—huku Urusi na Israel zikiendelea kukaidi chombo hicho cha dunia. Mauaji ya raia na uharibifu wa…

Read More

Sintofahamu kifo mgombea Chadema, Polisi yafafanua

Kagera. Jeshi la Polisi nchini limesema taarifa za kuuawa kwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani Missenyi mkoani Kagera, Joseph Remigius (52) si za kweli na zinalenga kuupotosha umma. Msemaji wa Jeshi hilo, David Misime kupitia taarifa kwa umma ameeleza hayo leo Ijumaa Novemba Mosi, 2024. Awali kupitia mitandao ya kijamii zilisambaa…

Read More

Aliyehukumiwa miaka 30 jela aangua kilio mahakamani

Mshtakiwa wa kesi ya ubakaji, Damas Gwimile ameangua kilio katika Mahakama ya Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani wakati akisomewa hukumu ya kifungo cha miaka 30 jela pamoja na viboko 12. Gwimile, ambaye ni mkazi wa Kidimu wilayani Kibaha, alihukumiwa baada ya Mahakama kuthibitisha pasipo shaka kwamba alitenda kosa la kumbaka msichana mwenye umri wa…

Read More

40 LUCKY SEVENS WANAKUPA MKWANJA LEO

MCHEZO wa kasino wa 40 Lucky Sevens unaweza ukawa sehemu ya matumaini yako ya kuianza wikiendi leo kwa kushinda maokoto ya kutosha kupitia mchezo huu, Kwani mchezo huu wa kasino umekua kivutio kikubwa kwa wateja wa kasino. 40 Lucky Sevens ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma “Game Art“. Utapenda mchezo huu…

Read More