Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: November 1, 2024

  • Home
  • 2024
  • November
  • 1
Burudani

Baba wa aliyechoma picha ya Rais aiangukia Serikali

November 1, 2024 Admin

Mbeya. Ikiwa imepita miezi miwili tangu kutoweka kwa msanii wa uchoraji, Shadrack Chaula (24), baba yake mzazi, Yusuph Chaula (56) ameiomba Serikali kufanya uchunguzi wa

Read More
Habari

Familia yabainika kuzika mwili usio wa ndugu yao

November 1, 2024 Admin

Moshi. Mwili wa Richard Shoo (31) uko wapi? Hilo ni swali ambalo wanafamilia wanajiuliza, baada ya mwili waliokuwa wameuzika awali kubainika kuwa si wa ndugu

Read More
Habari

Wanawake kupewa unafuu mabadiliko ya tabia nchi

November 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ukosefu wa elimu, miundombinu duni, na kukosekana kwa sera bora zimetajwa kuwa changamoto kubwa kwa wanawake katika juhudi zao za kukabiliana na

Read More
Habari

Mwelekeo bajeti 2025/26 ni Sh55.06 trilioni

November 1, 2024 Admin

Dodoma. Serikali inakadiria kukusanya na kutumia Sh55.06 trilioni kwa mwaka 2025/26, ikitaja maeneo sita ya kipaumbele ikiwamo kugharamia maandalizi ya uchaguzi mkuu mwakani. Hayo yamesemwa

Read More
Habari

Sh21 bilioni kumaliza kero ya maji Buchosa

November 1, 2024 Admin

Sengerema. Huenda adha ya uhaba wa maji kwa wakazi wa Buchosa wilayani Sengerema ikamalizika baada ya Serikali kuanza utekelezaji wa miradi yenye thamani ya zaidi

Read More
Kimataifa

Umoja wa Mataifa Ulisalia Kupooza Kama “Mataifa Ya Jaji” Yanayokiuka Mkataba na Kuongeza Uhalifu wa Kivita – Masuala ya Ulimwenguni

November 1, 2024 Admin

Credit: UN Photo/Manuel Elías na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Ijumaa, Novemba 01, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Nov 01 (IPS) – Umoja

Read More
Habari

Askofu Lugendo atoa ushahidi dhidi ya Kanisa la Anglikana

November 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mbeya, Julias Lugendo (64) ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, kuwa Katiba ya Kanisa la

Read More
Habari

Sintofahamu kifo mgombea Chadema, Polisi yafafanua

November 1, 2024 Admin

Kagera. Jeshi la Polisi nchini limesema taarifa za kuuawa kwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani Missenyi mkoani Kagera, Joseph Remigius (52)

Read More
Habari

Aliyehukumiwa miaka 30 jela aangua kilio mahakamani

November 1, 2024 Admin

Mshtakiwa wa kesi ya ubakaji, Damas Gwimile ameangua kilio katika Mahakama ya Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani wakati akisomewa hukumu ya kifungo cha miaka

Read More
Habari

40 LUCKY SEVENS WANAKUPA MKWANJA LEO

November 1, 2024 Admin

MCHEZO wa kasino wa 40 Lucky Sevens unaweza ukawa sehemu ya matumaini yako ya kuianza wikiendi leo kwa kushinda maokoto ya kutosha kupitia mchezo huu, Kwani mchezo

Read More

Posts pagination

1 2 … 12 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.