DKT. BITEKO AHIMIZA UPENDO, AMANI NA USHIRIKIANO SENGEREMA

*Asisitiza wananchi kushiriki Uchaguzi Wa Serikali za Mitaa kwa amani, Sengerema inahitaji maendeleo na si maneno Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amehimiza upendo, amani na ushirikiano miongoni mwa wananchi wa Sengerema ili waweze kujiletea maendeleo. Dkt. Biteko ameyasema hayo…

Read More

Mtoto Malik aliyekatwa koo sasa apona

Dar es Salaam. Malik Hashim (6) aliyesota Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa siku 107 akitibiwa koo, sasa amepona kabisa. Mtoto huyo anayeishi Goba Kinzudi Dar es Salaam, alifikishwa hospitalini hapo Julai 15, mwaka huu baada ya kushambuliwa na kitu chenye ncha kali  na mtumishi wao wa ndani. Akizungumza na Mwananchi Novemba Mosi, Mkuu wa…

Read More

WAZIRI JAFO AITAKA SIDO KUTENGENEZA MASHINE ZA KUCHAKATA MWANI NA KUKAMUA MAFUTA KWA WAJASILIAMALI LINDI

    Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo, akizungumza wakati akizindua Maonesho ya kwanza ya gulio la bidhaa za usindikaji na ushonaji Mkoani Lindi, Novemba 02,2024. …….. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb) ameliagiza Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) kutengeneza mashine za kuchakata mwani na kukamua mafuta…

Read More

Tanzania yapanda viwango vya uhuru wa habari

Dar es Salaam. Tanzania imepanda katika viwango vya uhuru wa habari kutoka nafasi ya 143 mwaka 2023 hadi nafasi ya 97 mwaka huu. Takwimu hizo ni kwa mujibu wa ripoti ya Taasisi ya Waandishi wa Habari wasio na Mipaka (RSF). Hata hivyo, Serikali ya Tanzania ina kila sababu ya kuongeza nguvu ya kuwalinda waandishi wa…

Read More

Kilichoiua Yanga kwa Azam | Mwanaspoti

KADI nyekundu ya moja kwa moja aliyopewa beki wa kati Ibrahim Bacca dakika ya 21 tu, imeiponza Yanga kupoteza mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara msimu huu mbele ya Azam FC na kutibuliwa rekodi mbalimbali ilizokuwa nazo msimu huu ikiwamo kupoteza uwanja wa nyumbani tangu msimu uliopita. Yanga iliyokuwa imecheza mechi zaidi ya 50…

Read More