
SERIKALI YATAKA RIADHA KUAMKA ZANZIBAR,TIGOZANTELI YAPONGEZWA
MAKAMU wa pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema kwa sasa ni zamu ya mchezo wa raidha kuamka na kpanda juu baada ya soka. Akizungumza kwenye mbio za Kimataifa za ‘Tigo- Zanter Marathon 2024’ zilizofanyika leo asubuhi Zanzibar, Makamu wa pili wa Rais Abdulla, alisema mchezo wa soka Zanzibar umepiga hatua ambapo kumekuwa…